Namna ya kuwa tajiri mwaka huu, hii biashara inalipa ni kiboko huhitaji kafara!

Namna ya kuwa tajiri mwaka huu, hii biashara inalipa ni kiboko huhitaji kafara!

Aaaah! Kuna namna ya kutumia fursa za wanyama mnashindwa hata kuuza hata picha mitandao mnataka ku kuwatokomeza kabisa wabongo wengi sijui kwanini huwa tunapenda wrong way
 
hadi kanunguyeye ni government trophy, adhabu yake ni 20 years au ulipe three times the value. Nungu yeye thamani yake ni 100USD.
Kanunguyeye AKA Hedgehog unataka wangapi..., kuna sehemu wapo wa kutosha ukitoka hukosi wawili au watatu vipi niambie nikupatie hata kwa 1/3 ya hio price
 
Mwaka 2015 nilikuwa na dili la miba ya karunguyeye nilipewa na mtailand mmoja nikafatilia vibali issue ikaja kuwapata hao nguyeye acha kabisa mkuu!
Mkuu labda unaongelea Kakakuona AKA Pangolin; Karunguyeye wapo wa kutosha kama vipi mtafute mthailand wako mimi nikutafutie hata kumi uwafuate (cash in hand lakini) sio nipoteze muda wangu kuwakusanya na kuwapotezea muda wao wa kuvinjari na kujipatia kitoweo
 
kuna shamba moja hivi linamiliki vifutu wakutosha sana kwa mwezi unaweza kutana na vifuta 12, kama kifutu mmoja laki tatu themanini mbon kama pesa yupo
Cost ya kuwa-raise hao maadui wa Binadamu ipo vipi ? Ukiona / ukisikia price nzuri lazima kuna ugumu..., hio ndio formula ya maisha....
 
Kwahio nyoka unamuua kabisa na kumchuna ama atamchuna yeye?
 
Mwaka 2015 nilikuwa na dili la miba ya karunguyeye nilipewa na mtailand mmoja nikafatilia vibali issue ikaja kuwapata hao nguyeye acha kabisa mkuu!
MKUu unamaanisha kalunguyeye? huyu anaetembea ameinamisha kichwa? nipe namba inbox tufanye kazi
 
Back
Top Bottom