Namna ya kuwaona wachawi kwa kutumia Kisamvu

Namna ya kuwaona wachawi kwa kutumia Kisamvu

Uchawi ni sayansi moja ya kimaskini saana, ingekuwa na uwezo wa kuniruhusu kuingia bank strong room na kuchukua madola hapo sawa.. au kusafiri hadi US, Ulaya kwa ndege bila visa na wafanyakazi wa ndege wakanihudumia bila shida aisee ningejiunga nao.

Kifupi uchawi hauna faida tangible..
Uchawi na umasikini ni sawa na pete na kidole

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Uchawi ni umasikini.
Kuuendekeza ni kujiongezea umasikini.
 
Si kisamvu tu hata ukikaaa chini ya mti wa muhogo, hakikisha kuwe na umande, niliwahi kujaribu ila kadri masaa yanavyosogea hofu inaongezeka ( hapo sjaanza kuona mauza uza)[emoji1787][emoji23]....Wenge likanifanya nikimbie..Sijajaribu tena.
Mkuu za siku, mbona umetukimbia, hata kuja kusalimia unashindwa!!?
Uje tukuone, maana tumekumis
 
Mkuu husali tu kawaida tangu utotoni nilikuwa naona hivo vitu aisee Hadi maza jirani mwanga alikuwaga ananivhukua kwake kila akitaka kunikata ulimi wangu ulimi unateleza anashindwa mpaka nimekuwa Kuna ntu aliniombea nisiwe naona ila baada ya mda business as usual. SEMA kuona hivo huleta shida sana bana.
Napenda Sana NINGEKUWA Kama wewe ningeomba neema kwa Mungu anizidishie nguvu Mara Mia niwatese kwa nguvu za Kimungu. cariha
 
Nataka niwaone wachawi wa kizungu, yaani wawe ni wazungu wapiga ramli
 
Back
Top Bottom