Namna ya kuwaona wachawi kwa kutumia Kisamvu

Uchawi na umasikini ni sawa na pete na kidole

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Uchawi ni umasikini.
Kuuendekeza ni kujiongezea umasikini.
 
Si kisamvu tu hata ukikaaa chini ya mti wa muhogo, hakikisha kuwe na umande, niliwahi kujaribu ila kadri masaa yanavyosogea hofu inaongezeka ( hapo sjaanza kuona mauza uza)[emoji1787][emoji23]....Wenge likanifanya nikimbie..Sijajaribu tena.
Mkuu za siku, mbona umetukimbia, hata kuja kusalimia unashindwa!!?
Uje tukuone, maana tumekumis
 
Napenda Sana NINGEKUWA Kama wewe ningeomba neema kwa Mungu anizidishie nguvu Mara Mia niwatese kwa nguvu za Kimungu. cariha
 
Hao majambazi sugu wanaotumia sijui hirizi wanapata kipigo kikubwa lakini wanaendelea kudunda tu, wakichapwa na hiyo minyaa unakuwa umemaliza kila kitu....Sijui minyaa yenyewe waifahamu???[emoji23][emoji1787]
Sihifaham mkuu
 
Nataka niwaone wachawi wa kizungu, yaani wawe ni wazungu wapiga ramli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…