Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Au ni Miss Jamii Forums 2023π€Kwema wakuu,
Huyu dada ni member wa jamiiforums, namkubali sana nimekuwa nikimtumia ujumbe pm lakini hajibu. Kusema kweli namuelewa sana nataka awe mama watoto ila hataki kujibu pm.
Nishamwambia kama ni suala la pesa asiwaze kabisa.
Nipeni mbinu nifanyaleje wakuu. Nataja jina lake baadae.
Huenda ni id nyingine ya BICHWA KOMWE - πππUwe na Uhakika ni Mwanamke kwanza...
Usije kujichanganya
FaizaFoxy ? Aende tu kuna uzi wake wa kumtongoza na majibu yanapatikana live kabisa.Au ni Miss Jamii Forums 2023π€
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Inawezekana pia...Huenda ni id nyingine ya BICHWA KOMWE - [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]
Mungu aingilie kati kinamna ipi?
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mkuu endelea usije kujua nimechukuq jimbo lakoπ€£ jokeephen_ ni kweli shemu?
Pole sana..tunapita njia moja...ila nini Kidogo kidogo ataelewaKwema wakuu,
Huyu dada ni member wa jamiiforums, namkubali sana nimekuwa nikimtumia ujumbe pm lakini hajibu. Kusema kweli namuelewa sana nataka awe mama watoto ila hataki kujibu pm.
Nishamwambia kama ni suala la pesa asiwaze kabisa.
Nipeni mbinu nifanyaleje wakuu. Nataja jina lake baadae.
π wivu tu huoDada kaza hivyo hivyo ukimkubalia tuu mkija kuachana uwe na uhakika wa kuja kuanikwa humu mpaka alama uliyo nayo mwilini mwako Jf woote tutaijuaa
Shikilia hapo hapo Dadaaa..
Kwanini chipukizi πππChipkizi mpo serious sana na hizi ID za kike za humu
Mbona mimi sina jimbo?Mkuu endelea usije kujua nimechukuq jimbo lakoπ€£ joke
Kweli humu watu wana id mbilimbiliMkuu endelea usije kujua nimechukuq jimbo lakoπ€£ joke
Nina ndoa yangu yenye furaha ππ sihitaji ndoa nyengineHuenda ni id nyingine ya BICHWA KOMWE - πππ
BICHWA KOMWE unamuonaje anamiliki au naye debe tupu?ππ[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Inawezekana pia...
Maana kuna watu hawajawahi kumiliki akili...