Nampataje huyu dada wa JF nipate kumuoa?

Kabisa, kuna mwengine niliona anamsema mdada wa humu eti kavaa miwani mikubwa amekaa kwenye gari yake halafu ni shapeless๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Ila yule kaka hajielewi trust me. Ko alitaka tujue ana gari๐Ÿฅด
Ona sasa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Hii Jf sijui imekuwaje๐Ÿ˜‚ ni aibu
 
Huyo ni mme wa mtu na ana watoto 2 na mke wake. Kwahiyo utaenda kuchezea. Jipange, jiandae. Usiseme hatukukuambia๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ
 
Mhh sidhani kama wanachangamsha genge kwa kweli.

Lazima tuogope na kuwa makini
Watu wanafanya utani tu, siamini kama kuna ukweli wowote. Yaani nikutoe out then nije kuhabarisha umma kuwa Ms eyes yupo hivi na vile, sio kweli hakuna Me anaweza fanya hivyo.
 
Mkuu angalia usije kuwa una-chat na li george aloyce!!
 
Unamchanganyia madesa [emoji16]
 
I canโ€™t.

Ila honestly, mwanzo nilikuwa nakuogopa wewe unaweza kunisema huku๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Iโ€™m sorry for being negatively.
Kila siku nakuambia "Our issues should stay in our own backyard,tupigane ngumi"labda
tunyongane missyGF ndio afike ku report JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ