Am happy for you jamaniKila siku nakuambia "Our issues should stay in our own backyard,tupigane ngumi"labda
tunyongane missyGF ndio afike ku report JF.
Baadaye saa ngapi masaa 3 sasa yameshapitaNataja jina lake baadae.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We mchokozi shem bae[emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaambiwa unatafutiwa mtu...kumbe ni yeye mwenyewe...
Tuzidi kuelewana hivyo hivyo mdogo wangu...Hua nakuelewa sana basi tu[emoji131]
Na Uzee huo utaijulia wapi[emoji28][emoji28][emoji28]?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii mbinu umenipa wewe shem bae!!
Hahahahaha muelewe kijanaTuzidi kuelewana hivyo hivyo mdogo wangu...
Kijana kachunguliaHaya sasa Makiwendo, kazi inaanzia hapa🤣🤣🤣
Usikate tamaa mapemaUshaniwekea gundu mkuu. Kani friendzone
Endelea kunitafutaa ili yatimie maandiko kuwa bichwa komwe ametafuna sega 🥴Sasa utamzaliaje huyo mmeo au uta..😂😂
Hahahahaha,dahMimi sio mdogo wako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahahaha muelewe kijana
Ni nani yangu?[emoji1]Mimi sio mdogo wako
Sio kirahisi namna hiyi mkuu, yani kipepsi tu ushashika shavu. Pambana vitu vizuri havinapatikani kizembe.Ushaniwekea gundu mkuu. Kani friendzone
Hakika, tuuone mwisho mwema🤣Kijana kachungulia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Si utulie basi.Sio kirahisi namna hiyi mkuu, yani kipepsi tu ushashika shavu. Pambana vitu vizuri havinapatikani kizembe.
Kwa huu uchovu sitaki hata kusikia, nitawapasia vijana waongeze uzoefu🤣🤣Na Uzee huo utaijulia wapi[emoji28][emoji28][emoji28]?
Ishi nayo Shem Bae...
Achana amezeekaKwema wakuu,
Huyu dada ni member wa jamiiforums, namkubali sana nimekuwa nikimtumia ujumbe pm lakini hajibu. Kusema kweli namuelewa sana nataka awe mama watoto ila hataki kujibu pm.
Nishamwambia kama ni suala la pesa asiwaze kabisa.
Nipeni mbinu nifanyaleje wakuu. Nataja jina lake baadae.