chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,079
- 2,273
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Am too old for this
Kama PM haijibiwi kaushaa mzee
😂😂😂 umetisha mahiiAm too old for this
Kama PM haijibiwi kaushaa mzee
hutaki kumsikiliza kijanaAm too old for this
Kama PM haijibiwi kaushaa mzee
Wanazingua watu wa namna hii😂😂😂 umetisha mahii
hutaki kumsikiliza kijana
For realKila siku nakuambia "Our issues should stay in our own backyard,tupigane ngumi"labda
tunyongane missyGF ndio afike ku report JF.
Hawajui kuwa ndio wanaharibu zaidi 😁Wanazingua watu wa namna hii
Sasa kuanzisha uzi inamsaidia nini
[emoji23][emoji23][emoji23]Kitu ambacho hujui, unaweza sema ni binti mrembo, kumbe age yake kwa Sasa inasoma 52 +,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaah wee.Mnaji-commit wenyewe kwamba hela sio shida kwenu alafu mkipata vijambazi mnarudi tena mkiwa mmescreenshot message za vizinga huku mkilalamika, Sasahivi tunawapiga vidole.
Wee dada kwann lakinii?? [emoji23][emoji23][emoji23]Uwe na Uhakika ni Mwanamke kwanza...
Usije kujichanganya
Hebu sema kweli wizoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nina ndoa yangu yenye furaha [emoji23][emoji23] sihitaji ndoa nyengine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mfyuuuuhTulienda kwa shekheee [emoji847][emoji847]
Atavalishwa dera hivyo hivyo nani amemwambia ajirengeshe kama demu?Mtaje isijekuwa ni dume
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo ni mme wa mtu na ana watoto 2 na mke wake. Kwahiyo utaenda kuchezea. Jipange, jiandae. Usiseme hatukukuambia[emoji2089][emoji2089]
Ukite una hisia na id ya kike kumbe mwenye nayo ni dume jitafakari sanaKwema wakuu,
Huyu dada ni member wa jamiiforums, namkubali sana nimekuwa nikimtumia ujumbe pm lakini hajibu. Kusema kweli namuelewa sana nataka awe mama watoto ila hataki kujibu pm.
Nishamwambia kama ni suala la pesa asiwaze kabisa.
Nipeni mbinu nifanyaleje wakuu. Nataja jina lake baadae.