min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Kwangu unaonaje mkuuKupigwa kitofali n rahisi kama ukiwa unatofautiana mawazo na watu wa humu mana watakasirika na kufanya upigwe ban, ila kama ww n mtu wa kulike tuu huwez kupigwa kitofali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwangu unaonaje mkuuKupigwa kitofali n rahisi kama ukiwa unatofautiana mawazo na watu wa humu mana watakasirika na kufanya upigwe ban, ila kama ww n mtu wa kulike tuu huwez kupigwa kitofali.
Kwa nini mkuu?Daaah aiseeeeeeee..
Nimejikuta nacheka sanaaaaa
My pleasure..!☺️Ndio nakupenda , kwani kuna ubaya?
Nafurahi ukifurahi😊My pleasure..!☺️
Ww cjawah kukuona ukiumizana kichwa na watuKwangu unaonaje mkuu
Mimi nakosa tu wapare hao ndio saizi yangu mkuu.Ww cjawah kukuona ukiumizana kichwa na watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumetokeaa nn?
Upo ?My pleasure..!☺️
aloooh kuna tangazo lilitolewa ila nashangaa kimya 😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumetokeaa nn?
Nipo mkuuUpo ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakuna jipyaaa!!!aloooh kuna tangazo lilitolewa ila nashangaa kimya [emoji23][emoji23]
Sasa mm Siwez kumshtaki mtu ht anifanye kitu gn 😂 Kwahy mm na ww tutachapana mpaka mmoja aombe majiMimi nakosa tu wapare hao ndio saizi yangu mkuu.
Wapare mikwara mingi kumbe ni uchochoro tu 😊Sasa mm Siwez kumshtaki mtu ht anifanye kitu gn 😂 Kwahy mm na ww tutachapana mpaka mmoja aombe maji
Ukiamka unakuta mods wameshafuta comments na ban zimetembea 😂Hii tabia ya kutoa ahadi za uongo muache!
Naweza kulala halafu nikapitwa
We acha tu!Ukiamka unakuta mods wameshafuta comments na ban zimetembea 😂
Hajadumaa Elon Musk sembuse mimiThe hundreds mwache alale akue mkubwa ,wewe hauogopi kudumaa?
Ah Mm mbona mpole sina makuu, labla uwajaribu wapare wngnWapare mikwara mingi kumbe ni uchochoro tu 😊
Wngn❌Ah Mm mbona mpole sina makuu, labla uwajaribu wapare wngn
Utajua mwnywWngn❌
Wengine✅
Wapare wa hedaru wana matatizo tofauti na usangi sijui kwa nini?Ah Mm mbona mpole sina makuu, labla uwajaribu wapare wngn