Nampeleka Mahakamani Mwanamke niliyezaa naye kwa kushindwa kumhudumia mwanaye. Hoja nitakazopeleka Mahakamani ni hizi

Na mahakama ikibisha waambie kabisa siku mko chumbani mnatafuta huyo mtoto ushahidi wa video unao vile jinsi alikua anakung'ang'ania ili usi wash-out ni yeye mwenyewe ndo aling'ang'ania mpira uingie wavuni wakati we ulitaka kugongesha besela
 
Lea mtoto acha upumbavu mtoto wakiume unampeleka mwanamke mahakamani kwaajir ya nini..
Kweli tunakoelekea kuna wanaume wanatoka kwenye reli alafu wao wanajiona wapo sawa tu

Sent from my motorola one macro using JamiiForums mobile app
 
Ni huu ukristo unaobariki mashoga ndiyo hautambui 50 50? Au kuna mwingine

Mtoa mada yuko Ok sana wanaume tukifungua kesi za kutosha kuhusu hii 50 50 nadhani itakufa kifo cha asili kwa sababu 50 50 ni mzigo kwa wanawake wenyewe kama wanaume tukiizingati

Ukisema 50 50 maana yake tayari unanipunguzia mimi mwanaume majukumu
Kinachotakiwa ni kusimamia kile mnachotaka
Siyo 50 50 kwenye mambo rahisi tu

Mimi nilikuwa na wazo mtoto akizaliwa kwa kuwa ni wetu sote tushirikiane, na baba apeleke huduma mpaka mtoto afikishe miaka saba
Baada ya hapo baba amchukue mtoto na mama ndiyo awe anapeleka huduma kwa baba na kama kuna mahitaji ya shule tupokezane kila mwaka kuanzia ada na mahitaji mengine
 
Sasa mbona sijaona mahali uliposema mligawana majukumu ya kumpikia, kumfulia, kumuogesha, kumuuguza akiumwa na malezi yote kiujumla, ukiachilia mbali kubeba ujauzito, kumzaa na kumnyonyesha ambayo hayo huwa hamyahesabii kwa kisingizio kwamba ni majukumu ya kimaumbile
 
Hivi hapo uliposema 50 50 itampunguzia majukumu mwanaume, umejumlisha na majukumu kama kupika, kuosha vyombo, kufua, kusafisha nyumba pamoja na kulea hao watoto au hayo siyo majukumu
 
Shenz ushaanza kuleta udini hapa. Usitaje bure jina la bwana Mungu wako. Shenziiii [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji41]
Wapi nimelitaja jina la Bwana Mungu wangu?
Mungu wangu ana jina alilomwambia Musa katika sura ya kijiti, Mungu ni cheo chake ila jina lake sijalitaja kabisa.
 
Kwani ilikuaje maana mara nyingi mama ndo anabakigi na mtoto imekaaje kwako ikawa vaisvesa au mtoto ana umri gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…