shukranihata hayo maisha mazuri unayoyaona kwa familia ya huyo binti ujue kuna mwanaume alipambana..!,bado una muda wa kupambana na kufika walipo na hata kuwa zaidi yao as long as hujakata tamaa,weka kwanza vigezo vya mke unayemtaka mbele kama hajafit kwenye vigezo vyako na pia nafsi yako inakupa mashaka move on mkuu, usiendeshwe na woga wa maisha na mapenzi achana na hilo jipu kama hana values unazotaka.wazee walisema kosea vyote ila usikosee kuoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anataka kuolewa tu huyu jamaa anapima upepo aone kama tutahalalisha ndoa yakeKuwa muwazi... Unataka kuoa au unataka kuolewa....?
Ww kwenu pia kuna mawe?Muoe kama unaona anakupenda na kukuhitaji
Kiburi na jeuri huwa vinaisha,hata mie nilikuwa navyo.....ni suala la muda tu
Na huyu ni mwanaume eti daah?Pesa ndizo zinapelekea ushindwe kumuacha aisee kizazi kinasikitisha mweee
Kama unatafuta maisha kwake vumilia oa,kama unatafuta mke basi piga chini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]Kuwa muwazi... Unataka kuoa au unataka kuolewa....?
Lol mwanaume unataka mteremko wewe.Utadharauliwa wewe na ukoo wako wote.Habari za uzima ndugu, nina binti mmoja nipo nae kwenye mahusiano. Huyu binti kiukweli kabisa kutoka moyoni ni binti ambaye si wife material (kwangu), ila kuna kitu huwa nakiwaza sana kichwani.
Huyu binti kwao ni watu wenye uwezo mkubwa sana kipesa, yaani wana pesa sana sana sana wameiacha familia yangu kiuchumi kwa asilimia kama 75%.
Nina kazi yangu na nina shughuli zangu zingine za kunifanya niishi mjini bila shida yeyote ile lakini kuna muda wazo kichwani linaniambia kwamba, nimuoe huyu huyu nimzalishe pia nikiwa na uhakika wa asilimia 100% watoto wataishi kwenye good-life hata kama ikitokea mungu amenichukua.
Nikiwa nawaza hivyo roho yangu inashindwa kunifanya nimuache huyu binti, ila ni binti mwenye kiburi, jeuri, dharau na mambo mengine mengi tu ila ndio nipo nae.
Naombeni ushauri wenu wa dhati ndugu zangu, ili nichukue maamuzi sahihi kabisa.
Mbona unatanguliza kufariki? Una matatizo gani? Je akifa yy akakuachia hao madogo?[emoji848]nataka kuoa, ila pia naagalia kama nikifariki watoto wangu watabaki kwenye hali gani ya kimaisha
Kidume kinaandika bila aibu nanukuu "eti najua nikifariki watoto wangu wataishi bila shida "je akitangulia huyo Mwanamke mada yake imenishangaza mno na kunisikitishaNa huyu ni mwanaume eti daah?
Wanaume wamekuwa legelege balaa[emoji848]
atabaki bibi yake na babu upande wa mama, bado atasoma na kuishi kuzuriKidume kinaandika bila aibu nanukuu "eti najua nikifariki watoto wangu wataishi bila shida "je akitangulia huyo Mwanamke mada yake imenishangaza mno na kunisikitisha
Nakubaliana na ww mkuu...yan Ukishajionyesha ni dhaifu kwa mwanamke utadharaulika kama mtoa mada ..alivyo bwegeMapenz ya kizaz hiki ni balaa tupu yan tunapenda imradi tumependa tu.Me naona usiwe mnyonge kwake hata kama kwao wana wadhifa town...onesha uanaume wako nadhan akishajua upoje kichwani hata dharau atapunguza kwako.
Wanaume wengi tunafeli sana kuonyesha udhaifu wetu kwa wanawake ndo maana dharau zinakua kubwa sana.
kingine ni piga rungu, piga runguu mpk azilai ( joke )
Naona una beti baada ya kifo chako watoto wako waishi vipi wewe kuwa kwanza hustahiri kuwa baba .atabaki bibi yake na babu upande wa mama, bado atasoma na kuishi kuzuri