Watoto wa kiume siku hizi ndio maana wanawake wanwatawala na kuwaingilia mamlaka yenu.
Kwanza kwa namna umeandika unaonekana wazi wewe una lack self esteem na hauna mamlaka ndani yako na katika maisha yako.
Wewe umeshaona kuwa huyo mtu ana kila possibilities za kuja kukufanya ujutie baadae.... Why unahangaika nae....?! Kazi kutujazia Ma'single mother mtaani na watoto bastards wasioelewa kosa lao ni lipi hadi kuzaliwa nje ya familia.
Huu upuuzi kwann mnauendekeza.....?!
Pesa ni zao sio za kwake?! So unataka kuishi na kuwafanya watoto wako waishi kwa mali za ukweni?!
Wewe unataka kuleta damu ya umasikini katika kizazi chako. Watoto wanafuata nyayo za baba, sasa kama baba ndie mzembe kiasi hiki?!
Kama huyo mwanamke umeshaona hizo dalili tafuta mwanamke mtakae sikilizana na kufanya mambo yenu pamoja na sio ambaye mtakuwa mnavimbiana na kushindana kuwa nani yupo juu.
Huwa nakwazika sana ninapoona matoto ya kiume yanaleta ulegelege katika uanaume no wonder wanawake wanaamua kuwabebea ujauzito wanaume nje ya ndoa sababu wanaona waliowaoa sio wanaume kamili.....
Shika njia yako, mwanamke sahihi na anaejitambua atakufuata uelekeo wako.
Mwanamke asiyekubali kuwa chini ya mwanaume huyo si mwanamke ni matatizo.
Mwanamke asie na adabu na mjeuri kiburi kwa mwanaume ndio wengi wanaishia na maisha ya kutangatanga, wawe wamesoma au hawajasoma, wawe na pesa wasiwe na pesa, kutangatanga kupo pale pale.
Wewe ndie mwanaume acha ufala...... Mwanamke kiburi asie na utii kwako atakuwa mzigo katika safari yenu ya maisha....
Mabinti wazuri wapo wengi sana, zunguka na tafuta utapata. Haujaambiwa mwanamke wako yupo mkoa gani utashangaa unakutana nae..na wewe mwanaume, ili mwanamke akubali kuwa chini yako ni lazima uwe na uelekeo wa maana sio kukalia upuuzi upuuzi tu na hauna ramani. Wanawake huwa hawatazami unapesa kiasi gani as long as u are a man and u have control over your life. Tafuta usiogope.
Sent using
Jamii Forums mobile app