Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
KUla tu kizenji huku ukichukua mtaji hao hawaoleki hao wanadhani hela ndio kila kitu na sijawahi kuona hao wanaojiita familia bora wakaolewa na kudumu kwenye ndoa believe me , utakuja kunishukuru baadae , tafuta katoto freshi auswazi chenye mapenzi ya kweli huo mzigo uwe wa kuchuna tu period.