Nampenda binti wa kitajiri ila ana kiburi, jeuri na dharau. Je, nimuoe?

Nampenda binti wa kitajiri ila ana kiburi, jeuri na dharau. Je, nimuoe?

mkuu mimi kitu kinacho niendesha nadhani ni iki, uyu binti ni kiburi, jeuri, na mtu mwenye dharau mnoo mnoo tena mnoo, ila uyu binti kwake ni vitu viwili tu nilivyo vipenda, akili za darasani (ana upeo mkubwa sana darasani, na wanasema mtoto akili anafata 75% kwa mama), pili kwao maisha ni mazuri mnoo, nilichokuwa napata msukumo ni kunizalia watoto amabao watakuwa na upeo mkubwa class, na pili ata nikifa watoto bado watakuwa kwenye maisha ya hauweni, nasema ivi kwa kuwa mimi nimetoka kwenye familia choka mbaya vibaya mnooo, kula kwa tabu kuvaa kwa tabu nyumba ya nyasi.
We jamaaa ni marioo wa dunia [emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nina uhakika we ni mgogo

Mwanaume gani anapenda mtelezo hivo? Hata Capten wa lady jaydee ana unafuu asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nakupa miezi sita utatolewa usipobadilika
 
Cheki ulivyokuwa hopeless na juha la maana. Hivi wewe ni mzima kweli kichwani?!

Aliyekwambia watoto wanachagua pakuchukua akili ni nani?! Kwahiyo mama anampaje mtoto akili sasa kwa mfano?!

So watu wote wenye uwezo na vipaji akili wamechukua kwa mama zao?!

Jinga moja wewe.....

Na si shangai kwann unakwenda kufanya maamuzi ya kindezi hivyo sababu ya namna ulivyo mpumbavu.....

Yaani unavyomuongelea huyo mwanamke na unavyoplan kupata mtoto utadhani mfugaji anaplan kupata mbegu ya ng'ombe au kuku......

Aiseeee ningekuwa nakujua ningekufuata leo nikupe za chembe we fala....

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
baba nipo mkuu, ila najaribu kuangalia pia upande wa mama ale goodtime
Mama yupi?[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]...mamaako?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]

We jamaa ni ndezi sio la dunia hii
 
Baba sio kuvaa suruali na kujiita baba. Baba ni kuwajibika. Kwa namna umejipresent hapa inaonyesha hauwezi majukumu ya kuwa baba kwa familia, mume kwa mwanamke na hata kuwa mwanaume katika jamii.

Sababu tayari umeshaanza kujipa 50/50 chances za kushindwa maisha na kutarajia kupata sapoti ya ukweni. Wewe ni baba gani sasa unawajengea mazingira watoto waje lelewa na wazazi wa mkeo...?!

Baba wakweli anasema mimi nataka nione mtoto wangu ana kampuni, ana ajira, ana kipato na anauwezo wa kujitegemea na ana reputation nzuri katika jamii.

Unajita baba huku unawaza kufa watoto waje lelewa na mwanamke na familia yake?!

Unajiita baba halafu namna unavyomsifia mwanamke utadhani yeye ndio mwanaume kwako!

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]

Kupatwa kwa mwanaume
 
Mama yupi?[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]...mamaako?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]

We jamaa ni ndezi sio la dunia hii
mkuu uyu binti kwao pesa ipo sana, ndio maana naogopa sana kumuacha ingawaje sio wife material kabisaa kwangu
 
Mapenz ya kizaz hiki ni balaa tupu yan tunapenda imradi tumependa tu.Me naona usiwe mnyonge kwake hata kama kwao wana wadhifa town...onesha uanaume wako nadhan akishajua upoje kichwani hata dharau atapunguza kwako.

Wanaume wengi tunafeli sana kuonyesha udhaifu wetu kwa wanawake ndo maana dharau zinakua kubwa sana.

kingine ni piga rungu, piga runguu mpk azilai ( joke )
Yule manzi wako wa kimbulu umeshamuoa mkuu?
 
Basi kijana utakuwa una sura ya mama ako,msafi,mvivu vivu..


Wewe ni wale marioo na marioo siku zote hatakiwi kuwa na msimamo wala kuhonga..

Oa huyo upate hela kijana,kwanini usumbuke kama sisi wenzako wakati watoto wa kishua wanapenda sura nzuri na wewe unayo?
 
Mkuu mimi nimewahi kuwa na demu wa dizaini hiyo lakini kila nkikumbuka tabia zake roho inagoma kuliko kukumbatia pesa za nyumbani kwao. Nilifanya maamuzi nkampiga chini kwakuwa nimesomea noble profession nkajipa moyo bora nitafte pesa zangu mwenyewe niishi na mtu naependezwa na tabia zake. I am married now and very happy. Ninachopata siyo chakubeza. Maisha yanakwenda vizuri tu.
 
Sasa unataka kuoa sababu ya hali ya kwao ya kiuchumi? Umempendea pesa aisee🤔nashauri muoe mtu ambaye unampenda/mnapendana kama ni pesa mtatafuta za kwenu hata ukifa watoto wataishi na mama yao na pesa mlizotafuta. Usijilazimishe kwa mtu unayehisi humpendi, ndoa ni kifungo cha maisha kile usijekujuta bure.
 
Back
Top Bottom