Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 337
- 753
Makosa ya kiufundi yanaendelea kufanyika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yy ana avatar ya kiatuNdugu yangu mimi ni ME
Sio yyErythrocyte waitwa huku Kamanda
Nyie mtakuja kubakwa. Hizo ID za kike wengi ni wanaume wanawatapeli. Jiangalieni sana vijana.Naipenda hii. Id lkn ananipuuzia nikilike nyuzi zake yy alike zangu, kila siku namquote namtaja jukwaani lkn anijibu moyo unauma namuona na wengine anacheka nao anawajibu pm kafunga nlmwamba afungue ajajibu sijui nlmfanyaje id yk inaanza na e.... Nataka awe mbaka mama wa watoto wngu
Wee dada unatrend sanaMkuu sijaona jina langu kwenye uzi
Sio mimi
Shauri yao kupenda penda kwao uko na izo ID fake zenye majina ya kike watakuja kuangukia mikononi mwa wahuni 🌈 watu wa upinde waje wajutie maisha yao yote.Weeee wacha watu wapendane bwana
Khaah ushawah pgwa na ktu kizito wew😂😂 wengine tunakojoa tumechuchumaa mkuuShauri yao kupenda penda kwao uko na izo ID fake zenye majina ya kike watakuja kuangukia mikononi mwa wahuni 🌈 watu wa upinde waje wajutie maisha yao yote.
NB: Sijawahi kuamini kama uku Jf kuna wanawake nawachukulia wote ni wanaume tu.
Hamna sijawahi kupigwa na kitu kizito kwanz cn kawaid ya kufuata mtu pm awe wa kike ama kiume me mambo ya pm siyataki kbsKhaah ushawah pgwa na ktu kizito wew😂😂 wengine tunakojoa tumechuchumaa mkuu
sema ukweli bwana weweeeeeeeeeHamna sijawahi kupigwa na kitu kizito kwanz cn kawaid ya kufuata mtu pm awe wa kike ama kiume me mambo ya pm siyataki kbs