Nampenda huyu memba

Nampenda huyu memba

Naipenda hii. Id lkn ananipuuzia nikilike nyuzi zake yy alike zangu, kila siku namquote namtaja jukwaani lkn anijibu moyo unauma namuona na wengine anacheka nao anawajibu pm kafunga nlmwamba afungue ajajibu sijui nlmfanyaje id yk inaanza na e.... Nataka awe mbaka mama wa watoto wngu
Nyie mtakuja kubakwa. Hizo ID za kike wengi ni wanaume wanawatapeli. Jiangalieni sana vijana.
 
Weeee wacha watu wapendane bwana
Shauri yao kupenda penda kwao uko na izo ID fake zenye majina ya kike watakuja kuangukia mikononi mwa wahuni 🌈 watu wa upinde waje wajutie maisha yao yote.

NB: Sijawahi kuamini kama uku Jf kuna wanawake nawachukulia wote ni wanaume tu.
 
Ishakuwa kamzozo tayari.
images (6).jpeg
 
Shauri yao kupenda penda kwao uko na izo ID fake zenye majina ya kike watakuja kuangukia mikononi mwa wahuni 🌈 watu wa upinde waje wajutie maisha yao yote.

NB: Sijawahi kuamini kama uku Jf kuna wanawake nawachukulia wote ni wanaume tu.
Khaah ushawah pgwa na ktu kizito wew😂😂 wengine tunakojoa tumechuchumaa mkuu
 
Back
Top Bottom