Nampenda ila katiwa mimba

Nampenda ila katiwa mimba

Amepata upendo wa ghafla kwako ili umsaidie kulea mimba na mtoto mtarajiwa.
hii point maana nimemgharamia sana kipindi ichi kichache cha mahusiano yetu
 
Yaani hadi ilo unauliza yaani baharia ashakuchapia bado unashindwa ufanyaje mkuu tayari ushatengenezwa tayari usharogwa [emoji16]


Inauma ila we alikufanya "second option" ndo maana aka Ku cheat akupendi kivile ye anaangalia kwenye unafuu na ameku cheat na hana option nyengine mshikaj kamkataa kaamua arud kwako boya mwenye huruma


Unatia aibu hili si lakuomba ushauri kabisa

HIVI INAKUAJE SIKU HIZI WANAUME TUNASHINDWA KUFANYA MAAMUZI KWENYE MAMBO MADOGO KAMA HAYA HIVI SHIDA NI NINI WAKUU ?


we familia yake na wewe inakuhusu nini ? Piga chini hoe huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Point
 
Yaani hadi ilo unauliza yaani baharia ashakuchapia bado unashindwa ufanyaje mkuu tayari ushatengenezwa tayari usharogwa [emoji16]


Inauma ila we alikufanya "second option" ndo maana aka Ku cheat akupendi kivile ye anaangalia kwenye unafuu na ameku cheat na hana option nyengine mshikaj kamkataa kaamua arud kwako boya mwenye huruma


Unatia aibu hili si lakuomba ushauri kabisa

HIVI INAKUAJE SIKU HIZI WANAUME TUNASHINDWA KUFANYA MAAMUZI KWENYE MAMBO MADOGO KAMA HAYA HIVI SHIDA NI NINI WAKUU ?


we familia yake na wewe inakuhusu nini ? Piga chini hoe huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Baharia angekubali mimba,dem asingeenda kwa jamaa..
 
Kuna msichana tumekuwa kwenye mahusiano tangu mwaka jana mwezi 11, ila kipindi chote icho hakuwa na imani na mimi kama nipo serious nae kwa sasa anadai ananipenda sana baada kugundua upendo wangu wa dhati kwake, tatizo linakuja kwa sasa ana ujauzito wa mwez mmoja kapachikwa na baharia mmoja huko buza na huyu binti kawaeleza ndugu zake ananipenda mimi na hataki kuwa na huyo baharia na jamaa hana mpango na iyo mimba,

nilichoamua kumwambia siwezi kuwa nae kwakua siwezi lea mtoto wa mtu pia nina safari ndefu katika maisha haya huyu binti hataki kunielewa kabisa ukweli ni kwamba nilikuwa na marengo nae mazuri tu ila hii hari aliyonayo imenikatisha mood kabisa ila yeye hataki kunielewa kwakweli nimejaribu kumsihi alee mimba yake na mchizi anadai anataka kuitoa hiyo mimba ili awe namimi nije kumuoa ukweli nipo njia panda sijui nawezaje kuishinda mtihani huu ukizingatia wazazi wake wamemkataza hasitoe hiyo mimba na huyu binti hataki kuelewa yeye anataka kuwa namimi na mimi siwezi lea mtoto wa jamaa kwa kweli nampenda sana ila huu mtihani umeninyima nguvu sijui nini nifanye
Mwanamke anayetaka kutoa mimba eti awe na fulani huyo ni muuaji na jini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna jambo baya ktk mapenz kama kuwa ndumi la kuwili. Ukishaamua moja simamia maamuz yako mwanaume. Au wewe n mvulana?
 
huo sio mtihani ndugu mwandishi. hilo ni FUNZO, kwake yy na kwako pia.. hapo unatakiwa ujifunze kua SIO KILA UNACHOKIPENDA NA KUKITAKA UTAKIPATA. potezea mkuu, fanya mambo yako pita kushoto.
"kua makini na wanawake, ni katili sana".
 
Ngoja nizungumze upuuzi wa hawa baadhi ya mabinti......

Narudia kusema, wewe msichana,mdada,mwanamke kabla ya kufanya maamuzi kagua na tafakari maamuzi yako......

Mpo kwenye mahusiano week 1 tu au mwezi mmoja hiyo tabia ya kujiachia usiku kucha na kujifanya wewe ndiye mkewe hii biashara itawaacha wengi wakiwa na watoto majumbani wakilelewa na Bibi zao


WEEKEND NJEMA [emoji34][emoji34][emoji34]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna msichana tumekuwa kwenye mahusiano tangu mwaka jana mwezi 11
kwa sasa ana ujauzito wa mwez mmoja kapachikwa na baharia mmoja huko buza
Huyu mwanamke sio mwaminifu na wala hakupendi.

kipindi chote icho hakuwa na imani na mimi kama nipo serious nae kwa sasa anadai ananipenda sana baada kugundua upendo wangu wa dhati kwake
Mimba ndio imemfanya awe karibu na wewe baada ya mchizi wake kumtema.


Hakuna mwanamke hapo, jiongeze.
 
Imekaaje ?unakuta mwanamke anapata mahitaji yote ila anatembea na house boy kimyakimya ? Ona sasa huyu kapewa upendo wa hali ya juu ila mchizi kajishindia !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tatizo msimamo wake kutoa hiyo mimba ndio inanipa hofu ikitokea sijaoa familia yake na yeye watanichukuliaje mkuu ka si kurogwa nini kinafuata
Hivi kiukweli hujui kabisa la kufanya hadi unaomba ushauri humu au changamsha genge tu?? Na kweli unaamini anakupenda kweli?? Au kaona mchizi mwenye mimba unamzidi kipato? Watu mpaka wamepeana mimba wewe Bado unaamini unapendwa ,haya mkuu kila la kheri ila usishiriki kwenye kutoa mimba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anachosema kamwambia jamaa mimba imeharibika kwahiyo atajifungua vizuri tu alafu mtoto atalelewa na wazazi wake ili mimi niendelee nae nimuoe jamani mimi nisije rogwa tu huyu mtoto hataki kuniacha tena na kaapa haniachi
Yani wewe mwambie ampende aliempa hiyo mimba, kwanini wakuloge wewe wasimloge alieikataa hiyo mimba?

Kama kweli anakupenda kwanini akabeba mimba ya baharia?

Kama kulogwa huyoo mwenye mimba angelogwa afe kisha wewe kamata usukani

Qn
 
Back
Top Bottom