pockert money
Member
- Mar 12, 2022
- 22
- 65
...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma thread vizuriKwanza,
Mtoa mada wee Ni jinsia gani[emoji848]
Cc pockert moneyKwanza,
Mtoa mada wee Ni jinsia gani[emoji848]
Swali la msingi Sana hili[emoji106][emoji4]Alishakula mbususu? Tuanzie hapo
Ananiumiza ujue naimiss sauti yake siipati simu zangu hapokei naweza mpigia even ten times kwa mida ya Asubuhi na jioni hapokei lakini mida ya usiku chap anapokea tunaongea but napo hatuongei sana!!!!Kwa penzi jipya,
Jamaa yako Yuko sahii sana kufanya hivyo anavyokufanyia,
Hiyo Ni mbinu ya kibaharia ya wanaume tulio wengi kua harsh na disminder siku za mwanzoni kabisa za penzi ili usijione special Sana kua nae Kwny mahusiano.
Uyo jamaa ndo hivyo anataka kukuteka kihisia, ummiss kila mda na, ujiulize maswali yasokua na majibu na ktk hizo purukushani bila kujua unajikuta umempenda Zaid na Zaid.
Real gentlemen,
Mnajua Nini namaanisha[emoji4][emoji109]
Mwambie ukweli jinsi unavyojisikia.Ananiumiza ujue naimiss sauti yake siipati simu zangu hapokei naweza mpigia even ten times kwa mida ya Asubuhi na jioni hapokei lakini mida ya usiku chap anapokea tunaongea but napo hatuongei sana!!!! Mi napenda kutext kuliko kuongea sasa ukimtext even huo usiku still ha reply better umpigie mtaongea au anaweza sema nakupigia alafu hapigi ananichosha natamani nianzishe mahusiano mengine.
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu,ngoja tumsubiri
Kama mtu hapokei simu wala kujibu sms, sii unaachana nae tu unafanya mambo mengine...