DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Ni KERO mkuuHata mimi nipo hivyo, kuna mtu akikuona tu upo online anaanza kukutumia message, yaani naudhika na saa hiyo hiyo natoka online ninakuja kumjibu baadae sanaView attachment 2150099
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni KERO mkuuHata mimi nipo hivyo, kuna mtu akikuona tu upo online anaanza kukutumia message, yaani naudhika na saa hiyo hiyo natoka online ninakuja kumjibu baadae sanaView attachment 2150099
Hakika[emoji4]Naam mbwa kala mbwa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nakazia[emoji4][emoji106]kibaya zaidi hamuwaoagi hao mnaojifanya mnawapenda
Yule unaemdharaudharau ndo unakuja kumuoa[emoji3]
Napendaga vile unajifanya unapenda huku na hupendwiiii
Bando ndo upendo??🧐🏃🏃Njoo kwangu bibie na hutojuta, nakuunga bando la mwaka mzima(Mb's, SMS na DAKIKA), tutakuwa tunaongea mpaka utosheke
Ni utani tu suichukulie serious mkuu.........Bando ndo upendo??🧐🏃🏃
Kuna haja ya kukaa chini na kuongea kwa uwazi...Huyu kaka tangu ani approach simwelewi. Alionyesha hisia za kunipenda na Mimi nikavutika naye.
Tumeanzisha mahusiano lakini swala la mawasiliano limekuwa changamoto. Amenambia nimtafute usiku tu anakuwa busy sana na kazi Mara nyingi nikimpigia simu hapokei nikimtext hajibu Ila kuna muda nakut call waiting nahisi kuchoka.
Natamani mda mwingi tuwe tunawasiliana awe ananipa faraja nione na upendo wake pia yani nampigia simu hadi basi lakini hapokei ukija kumuuliza uo usiku mnapoongea anasema alikuwa busy sana na kazi za ofisi.
Ushauri wenu nampenda sana changamoto sipati mawasiliano kutoka kwake.
Huyu kaka tangu ani approach simwelewi. Alionyesha hisia za kunipenda na Mimi nikavutika naye.
Tumeanzisha mahusiano lakini swala la mawasiliano limekuwa changamoto. Amenambia nimtafute usiku tu anakuwa busy sana na kazi Mara nyingi nikimpigia simu hapokei nikimtext hajibu Ila kuna muda nakut call waiting nahisi kuchoka.
Natamani mda mwingi tuwe tunawasiliana awe ananipa faraja nione na upendo wake pia yani nampigia simu hadi basi lakini hapokei ukija kumuuliza uo usiku mnapoongea anasema alikuwa busy sana na kazi za ofisi.
Ushauri wenu nampenda sana changamoto sipati mawasiliano kutoka kwake.
Njoo hapa haraka Sana Ila uwe na sifa hizi
-uwe nakipato halali na halisi
-uwe na nyumba angalau moja na gari yakutembelea
-usiwe mlevi
-uwe tayar kunihudumia na mda wote uwe tayar kuchat nakuzungumza kwa mahaba
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
-ninaishi nawazaz wangu nanimiliki simu moja ya tecno
-nina watoto watatu wa nje
-sina pesa,nyumba Wala gari
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Msema kweli ni mpenzi wa mungu mambo mengne tutafundishana!![]()
Yani nakushauri kama mwanamke mwenzako, hapo hamna wahusiano hiyo ni one side love. Hakuna mtu yuko bize kwa anaempenda. Yuko bize kwako lakn ana muda kwa wengine. Kwan wewe oficn kwake hujawahi enda kwamba ukajionee mazingira kama kweli yanamkeep bize? Ila all in all hauko pekeakoAnaniumiza ujue naimiss sauti yake siipati simu zangu hapokei naweza mpigia even ten times kwa mida ya Asubuhi na jioni hapokei lakini mida ya usiku chap anapokea tunaongea but napo hatuongei sana!!!!
Mi napenda kutext kuliko kuongea sasa ukimtext even huo usiku still ha reply better umpigie mtaongea au anaweza sema nakupigia alafu hapigi ananichosha natamani nianzishe mahusiano mengine.
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Yani nakushauri kama mwanamke mwenzako, hapo hamna wahusiano hiyo ni one side love.
Binti kuanzisha mahusiano sio rahisi hvo,, huko ndio utakuja ukutane na wanaokula kimasihara.Mi napenda kutext kuliko kuongea sasa ukimtext even huo usiku still ha reply better umpigie mtaongea au anaweza sema nakupigia alafu hapigi ananichosha natamani nianzishe mahusiano mengine.
Yah koz najua inavyouma ukiwa unapitia hali hiyoUmeongea kwa hisia sana ndugu,, unaonekana umemuonea huruma sana Binti
Polee sanaa uyo atakuwa mnyanturu[emoji1787][emoji1787] [emoji1787]Huyu kaka tangu ani approach simwelewi. Alionyesha hisia za kunipenda na Mimi nikavutika naye.
Tumeanzisha mahusiano lakini swala la mawasiliano limekuwa changamoto. Amenambia nimtafute usiku tu anakuwa busy sana na kazi Mara nyingi nikimpigia simu hapokei nikimtext hajibu Ila kuna muda nakut call waiting nahisi kuchoka.
Natamani mda mwingi tuwe tunawasiliana awe ananipa faraja nione na upendo wake pia yani nampigia simu hadi basi lakini hapokei ukija kumuuliza uo usiku mnapoongea anasema alikuwa busy sana na kazi za ofisi.
Ushauri wenu nampenda sana changamoto sipati mawasiliano kutoka kwake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mapenzi bhana[emoji16]Natumiaga excuse ya ubusy pia ninapokua siko interested na mtu.
Hivi kweli masaa 24 yote unakua busy, unafanya research za kutibu cancer au?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyu binti anapotezewa muda.
Mapezi yako overrated. Usikubali kufa/kuteseka for an idea that doesn't exist.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mapenzi bhana[emoji16]
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Yah koz najua inavyouma ukiwa unapitia hali hiyo