Nampenda ila mawasiliano ni changamoto

Nampenda ila mawasiliano ni changamoto

Acha kumpotosha! mimi ni Me pia na nina tabia hiyohiyo.
Kuna wakati natongoza mwanamke yeyote aliyejichanganya just because m a man and m single na akishakubali naanza vitibwi vya aina hiyo. It always doesn't end well hasa kwa Ke.

Mimi namshauri awe makini asije potezewa muda na maumivu juu.
I give him a time from tomorrow I m not going to search him in that point najua nitapata majibu yalio kamili kama ananipenda atanitafuta tena and if ikiwa forever bac alikuwa ana ni test.

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
 
Huyu kaka tangu ani approach simwelewi. Alionyesha hisia za kunipenda na Mimi nikavutika naye.

Tumeanzisha mahusiano lakini swala la mawasiliano limekuwa changamoto. Amenambia nimtafute usiku tu anakuwa busy sana na kazi Mara nyingi nikimpigia simu hapokei nikimtext hajibu Ila kuna muda nakut call waiting nahisi kuchoka.

Natamani mda mwingi tuwe tunawasiliana awe ananipa faraja nione na upendo wake pia yani nampigia simu hadi basi lakini hapokei ukija kumuuliza uo usiku mnapoongea anasema alikuwa busy sana na kazi za ofisi.

Ushauri wenu nampenda sana changamoto sipati mawasiliano kutoka kwake.

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Ushauri ni kwamba hakupendi kiihvyo na ukiwa wapiga simu unamboa
 
Ananiumiza ujue naimiss sauti yake siipati simu zangu hapokei naweza mpigia even ten times kwa mida ya Asubuhi na jioni hapokei lakini mida ya usiku chap anapokea tunaongea but napo hatuongei sana!!!! Mi napenda kutext kuliko kuongea sasa ukimtext even huo usiku still ha reply better umpigie mtaongea au anaweza sema nakupigia alafu hapigi ananichosha natamani nianzishe mahusiano mengine.

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app

Unampigia simu mtu mara kumi,ana figo yako??[emoji15][emoji15]
 
Ananiumiza ujue naimiss sauti yake siipati simu zangu hapokei naweza mpigia even ten times kwa mida ya Asubuhi na jioni hapokei lakini mida ya usiku chap anapokea tunaongea but napo hatuongei sana!!!! Mi napenda kutext kuliko kuongea sasa ukimtext even huo usiku still ha reply better umpigie mtaongea au anaweza sema nakupigia alafu hapigi ananichosha natamani nianzishe mahusiano mengine.

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app

Unampigia simu mtu mara kumi,ana figo yako??[emoji15][emoji15]
 
Huyu kaka tangu ani approach simwelewi. Alionyesha hisia za kunipenda na Mimi nikavutika naye.

Tumeanzisha mahusiano lakini swala la mawasiliano limekuwa changamoto. Amenambia nimtafute usiku tu anakuwa busy sana na kazi Mara nyingi nikimpigia simu hapokei nikimtext hajibu Ila kuna muda nakut call waiting nahisi kuchoka.

Natamani mda mwingi tuwe tunawasiliana awe ananipa faraja nione na upendo wake pia yani nampigia simu hadi basi lakini hapokei ukija kumuuliza uo usiku mnapoongea anasema alikuwa busy sana na kazi za ofisi.

Ushauri wenu nampenda sana changamoto sipati mawasiliano kutoka kwake.

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Mara ya mwisho kupimwa akili ilikuwa lini na una miaka mingapi? Tuanzie hapa kwanza.
 
Ananiumiza ujue naimiss sauti yake siipati simu zangu hapokei naweza mpigia even ten times kwa mida ya Asubuhi na jioni hapokei lakini mida ya usiku chap anapokea tunaongea but napo hatuongei sana!!!! Mi napenda kutext kuliko kuongea sasa ukimtext even huo usiku still ha reply better umpigie mtaongea au anaweza sema nakupigia alafu hapigi ananichosha natamani nianzishe mahusiano mengine.

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app

wewe nae sasa unampigia mtu mara 10 na mahusiano ni mapya utaonekana umedodaaa na utaachwaa acha kujionyeshaa umekufa umeozaa

Utapigwa na kitu kizito [emoji3][emoji3]
 
Mimi nimemwambia ukweli, na huo ndo ukweli kwa wanaume wote, hamna cha kutaka kuwa peke yako wala cha u busy, hata kama unafanya kazi bank, wakati wakula hata ka sms kamoja utatuma, kama mnyanyua zege ndo kabisa utatafuta upenyo uskie sauti ya mrembo.

Hizo mambo za kua eti sim mda wote sjui nini na nini hujapenda.

Hembu msome dada umuelewe.
-usiku mda alosema ndo apigiwe na dada yetu, jamaa anaongea kidogo anaaga.
-lakini mara nyingi dada anakuta sim yake iko busy jamaa anaongea na sim nyingine.
-tena kuna mda anamwambia nakupigia nakupigia ndo imetoka hiyo.
-sms mchizi hataki kujibu.

Kwa mwanaume aliependa anamwita mchumba na kumuelekeza mazingira ya kazi vizuri, lakini pia akiwa free mdada ataona bashasha za jamaa kwa mapenzi ya kweli yalomjaa, lazima awe na ham ya kuongea nae.
Mapenzi hayafichiki jamani.

Sina nia ya kumuumiza bibie, ila mimi nataka apone, atoe hilo jino bovu ambalo kila mda anajigonga linamuumiza, bora abaki na pengo awe huru, kama jino litaota jipya mbele ya safar.

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app

wewe nae usilazimishee hiyo wanaume wote wapi sema wanaume jobless ndo wana mapenzi ya hivo
kwanza mwanamke gentleman anaejiamini huwezi mkutaa anateseka na kuchat chat ama kuongea na mwanamke

Mimi kama mwanamke simpendii mwanaume asiejiamini kila saa kupiga simu sijui sms

unatakiwa ukipigiwa wakati mwinginee usipokee makusudii sio upo available kila wakatiii
upuuzi tu
 
Mkuu mimi ni me, ila najua unacho jaribu kumaanisha hapo, ila ukweli ndo huo,utakuta kuna sehem huyo jamaa, anapiga sim kila saa,anachat mpaka basi, ila kwa dada yetu ndo anajifanya kua mzito, mkuu njia kuu lazima mwanaume awe makini nayo hatakama ana mchepuko, ahsante.

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app

kibaya zaidi hamuwaoagi hao mnaojifanya mnawapenda
Yule unaemdharaudharau ndo unakuja kumuoa[emoji3]

Napendaga vile unajifanya unapenda huku na hupendwiiii
 
Back
Top Bottom