Nampenda ila mawasiliano ni changamoto

Nampenda ila mawasiliano ni changamoto

Ananiumiza ujue naimiss sauti yake siipati simu zangu hapokei naweza mpigia even ten times kwa mida ya Asubuhi na jioni hapokei lakini mida ya usiku chap anapokea tunaongea but napo hatuongei sana!!!! Mi napenda kutext kuliko kuongea sasa ukimtext even huo usiku still ha reply better umpigie mtaongea au anaweza sema nakupigia alafu hapigi ananichosha natamani nianzishe mahusiano mengine.

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Fanya hivyo ya nini kukaa sehemu mwanaume hakuthamini
 
Huyu kaka tangu ani approach simwelewi. Alionyesha hisia za kunipenda na Mimi nikavutika naye.

Tumeanzisha mahusiano lakini swala la mawasiliano limekuwa changamoto. Amenambia nimtafute usiku tu anakuwa busy sana na kazi Mara nyingi nikimpigia simu hapokei nikimtext hajibu Ila kuna muda nakut call waiting nahisi kuchoka.

Natamani mda mwingi tuwe tunawasiliana awe ananipa faraja nione na upendo wake pia yani nampigia simu hadi basi lakini hapokei ukija kumuuliza uo usiku mnapoongea anasema alikuwa busy sana na kazi za ofisi.

Ushauri wenu nampenda sana changamoto sipati mawasiliano kutoka kwake.

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app

Liverpool VPN ni wewe anakupigia hupokei?
 
nafikiri mtambue mtu unae date nae. wengine ndivyo walivyo.

Binafsi hata mimi sipendezwi kukaa kuzungumza au kutextiana kila muda. ni asubuhi na jioni then imetoka hiyo. Na hilo halimaanishi kuwa mtu simpendi. Ila huwa nakuwaga muwazi kuhusu hilo.
 
Kwa penzi jipya,
Jamaa yako Yuko sahii sana kufanya hivyo anavyokufanyia,

Hiyo Ni mbinu ya kibaharia ya wanaume tulio wengi kua harsh na disminder siku za mwanzoni kabisa za penzi ili usijione special Sana kua nae Kwny mahusiano.

Uyo jamaa ndo hivyo anataka kukuteka kihisia, ummiss kila mda na, ujiulize maswali yasokua na majibu na ktk hizo purukushani bila kujua unajikuta umempenda Zaid na Zaid.

Real gentlemen,
Mnajua Nini namaanisha[emoji4][emoji109]


Kumbe?!

Lakini naona mnakosea kama ni hivyo!

Actually hicho unachokisema ni kweli kinafanyika kwenu miongoni mwa mnaojiita
Maharia lakini nimwambie kitu kufanya hivyo si Sawa!

Yani labda kama mwanamke huja mpenda kwa dhati sawa lakini kwa unayempenda kwa dhati haifai kufanya hivyo.

Hata asipokwambia lakini unamfanya kuzani huenda umeghairi kumpenda na kujitoa kwenye penzi mazima!

Yani laiti mngejua kuchechea huba pale ambapo mwanamke yuko high mngeweza kufurahia sana penzi kwa pamoja msingafanya hayo.

Sikatai ni kweli kabisa Mwanaume inabidi apewe nafasi ya kufanya mambo yake mengine hii ni kanuni kabisa ambapo wanawake wanapaswa kuijua lakini isizidi.

Lakini Mwanamke yuko high Mwanaume unapoaaaa, ukija kujifanya unaanza kuwa mwanamke anakuwa ameshapoa sasa hapo kunakuwa na raha gani?!
 
Tatizo lako uko desperate Sana na Ayo mahusiano, jamaa Yuko bize na shugjuli zake.

Binafsi,Niko hivyo pia.
Ayo mahusiano ya kupigiana pigiana Simu kila saa siku nzima, yanaboa sana asikwambie mtu.

Ili muenjoy mahusiano,inabd mpeane space.

Jamaa yako Yuko sahii 100%[emoji106]
me naborekaga hupesi. naona kama utoto. Uache shughuli mnakaa zaidi ya nusu saa mnavyoviongea vyenyewe unakuta havina msingi.
 
Sasa ww mdada unatak anyanyue zege uku anaongea na cm acha zako watu wanakwambia ofisini kumbe wapo kweny day waka⚠
Huyu kaka tangu ani approach simwelewi. Alionyesha hisia za kunipenda na Mimi nikavutika naye.

Tumeanzisha mahusiano lakini swala la mawasiliano limekuwa changamoto. Amenambia nimtafute usiku tu anakuwa busy sana na kazi Mara nyingi nikimpigia simu hapokei nikimtext hajibu Ila kuna muda nakut call waiting nahisi kuchoka.

Natamani mda mwingi tuwe tunawasiliana awe ananipa faraja nione na upendo wake pia yani nampigia simu hadi basi lakini hapokei ukija kumuuliza uo usiku mnapoongea anasema alikuwa busy sana na kazi za ofisi.

Ushauri wenu nampenda sana changamoto sipati mawasiliano kutoka kwake.

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe?!

Lakini naona mnakosea kama ni hivyo!

Actually hicho unachokisema ni kweli kinafanyika kwenu miongoni mwa mnaojiita
Maharia lakini nimwambie kitu mnaharibu hamjengi!

Yani labda kama mwanamke huja mpenda kwa dhati sawa lakini kwa unayempenda kwa dhati haifai kufanya hivyo.

Hata asipokwambia lakini unamfanya kuzani huenda umeghairi kumpenda na kujitoa kwenye penzi mazima!

Yani laiti mngejua kuchechea huba pale ambapo mwanamke yuko high mngeweza kufurahia sana penzi kwa pamoja msingafanya hayo.

Sikatai ni kweli kabisa Mwanaume inabidi apewe nafasi ya kufanya mambo yake mengine hii ni kanuni kabisa ambapo wanawake wanapaswa kuijua lakini isizidi.

Lakini Mwanamke yuko high Mwanaume unapoaaaa, ukija kujifanya unaanza kuwa mwanamke anakuwa ameshapoa sasa hapo kunakuwa na raha gani?!
Hii ngoma iko vice versa,

Tukiwa tunawatongoza,
Tunakuaga HIGH na kutumia Nguvu nyingi sana, uku nyie nmnakuaga LOW na maringo kibao.

Tukishawapata,
Tunakuaga low ili kupumzika na uchovu wa pilikapilika za kuwatongoza, wkt huo nyie ndo mnakua HIGH ili kuenjoy penzi jipya.

Kwaiyo,
Ni Mwendo wa kupindua pindua meza tu.

Hii ndivyo NATURE ilivyo[emoji4]
 
Huyu kaka tangu ani approach simwelewi. Alionyesha hisia za kunipenda na Mimi nikavutika naye.

Tumeanzisha mahusiano lakini swala la mawasiliano limekuwa changamoto. Amenambia nimtafute usiku tu anakuwa busy sana na kazi Mara nyingi nikimpigia simu hapokei nikimtext hajibu Ila kuna muda nakut call waiting nahisi kuchoka.

Natamani mda mwingi tuwe tunawasiliana awe ananipa faraja nione na upendo wake pia yani nampigia simu hadi basi lakini hapokei ukija kumuuliza uo usiku mnapoongea anasema alikuwa busy sana na kazi za ofisi.

Ushauri wenu nampenda sana changamoto sipati mawasiliano kutoka kwake.

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Anafanya kazi gani?
Mnaishi mikoa tofauti?
 
Usitujumlishe wote mkuu, mimi naweza mpenda manzi tena sana ila hayo mambo ya kugandana na kuchat kila muda sina nafanya kama jamaa yake huyo, pia kuna wengine sio kwamba wako busy ila wanapenda kuwa peke yao muda mwingi kuliko kua na wapenzi wao yani wakiwa peke yao wana enjoy zaidi kuliko kugandana
Mimi nimemwambia ukweli, na huo ndo ukweli kwa wanaume wote, hamna cha kutaka kuwa peke yako wala cha u busy, hata kama unafanya kazi bank, wakati wakula hata ka sms kamoja utatuma, kama mnyanyua zege ndo kabisa utatafuta upenyo uskie sauti ya mrembo.

Hizo mambo za kua eti sim mda wote sjui nini na nini hujapenda.

Hembu msome dada umuelewe.
-usiku mda alosema ndo apigiwe na dada yetu, jamaa anaongea kidogo anaaga.
-lakini mara nyingi dada anakuta sim yake iko busy jamaa anaongea na sim nyingine.
-tena kuna mda anamwambia nakupigia nakupigia ndo imetoka hiyo.
-sms mchizi hataki kujibu.

Kwa mwanaume aliependa anamwita mchumba na kumuelekeza mazingira ya kazi vizuri, lakini pia akiwa free mdada ataona bashasha za jamaa kwa mapenzi ya kweli yalomjaa, lazima awe na ham ya kuongea nae.
Mapenzi hayafichiki jamani.

Sina nia ya kumuumiza bibie, ila mimi nataka apone, atoe hilo jino bovu ambalo kila mda anajigonga linamuumiza, bora abaki na pengo awe huru, kama jino litaota jipya mbele ya safar.

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
 
Huyu kaka tangu ani approach simwelewi. Alionyesha hisia za kunipenda na Mimi nikavutika naye.

Tumeanzisha mahusiano lakini swala la mawasiliano limekuwa changamoto. Amenambia nimtafute usiku tu anakuwa busy sana na kazi Mara nyingi nikimpigia simu hapokei nikimtext hajibu Ila kuna muda nakut call waiting nahisi kuchoka.

Natamani mda mwingi tuwe tunawasiliana awe ananipa faraja nione na upendo wake pia yani nampigia simu hadi basi lakini hapokei ukija kumuuliza uo usiku mnapoongea anasema alikuwa busy sana na kazi za ofisi.

Ushauri wenu nampenda sana changamoto sipati mawasiliano kutoka kwake.

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Hakukupenda, alikutania tu, ukajipeleka mputamputa. Pole.
 
Tatizo lako uko desperate Sana na Ayo mahusiano, jamaa Yuko bize na shughuli zake.

Binafsi,Niko hivyo pia.
Ayo mahusiano ya kupigiana pigiana Simu kila saa siku nzima, yanaboa sana asikwambie mtu.

Ili muenjoy mahusiano,inabd mpeane space.

Jamaa yako Yuko sahii 100%[emoji106]
Mmh, aha okay!
Learning!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa penzi jipya,
Jamaa yako Yuko sahii sana kufanya hivyo anavyokufanyia,

Hiyo Ni mbinu ya kibaharia ya wanaume tulio wengi kua harsh na disminder siku za mwanzoni kabisa za penzi ili usijione special Sana kua nae Kwny mahusiano.

Uyo jamaa ndo hivyo anataka kukuteka kihisia, ummiss kila mda na, ujiulize maswali yasokua na majibu na ktk hizo purukushani bila kujua unajikuta umempenda Zaid na Zaid.

Real gentlemen,
Mnajua Nini namaanisha[emoji4][emoji109]
[emoji134][emoji134]mmh Mungu nisaidie sijui km nitaweza hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom