Nampenda ila mawasiliano ni changamoto

Nampenda ila mawasiliano ni changamoto

Huyo jamaa hayupo interest nawewe, alikutongoza ila baada ya kumkubalia kaona kuna mambo hayamvutii,anatamani ukate tamaa muachane, call zako na sms zako zinamkera, hakupendi.

Ushauri wangu:
Futa namba, futa sms zote, details zote kutoka kwake safisha,piga magoti umuombe Mungu msamaha kwa kudumbukiza moyo wako kwenye chaka la miiba, kisha muombe Mungu akupe ujasiri kwenye mwanzo mpya.Achana na huyo jamaa.

Nakuambia hivi kwakua tunajijua wanaume, mwanaume akipenda mwanamke hawi hivo Dadaake, hapo unapoteza mda,sjui ushampa au bado, ukimpa ndo kabisaa, ukinasa mimba ndo umekwisha kabisa, acha kujitesa mrembo.
Uko sahihi banaa!
Hili nalo neno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimemwambia ukweli, na huo ndo ukweli kwa wanaume wote, hamna cha kutaka kuwa peke yako wala cha u busy, hata kama unafanya kazi bank, wakati wakula hata ka sms kamoja utatuma, kama mnyanyua zege ndo kabisa utatafuta upenyo uskie sauti ya mrembo.

Hizo mambo za kua eti sim mda wote sjui nini na nini hujapenda.

Hembu msome dada umuelewe.
-usiku mda alosema ndo apigiwe na dada yetu, jamaa anaongea kidogo anaaga.
-lakini mara nyingi dada anakuta sim yake iko busy jamaa anaongea na sim nyingine.
-tena kuna mda anamwambia nakupigia nakupigia ndo imetoka hiyo.
-sms mchizi hataki kujibu.

Kwa mwanaume aliependa anamwita mchumba na kumuelekeza mazingira ya kazi vizuri, lakini pia akiwa free mdada ataona bashasha za jamaa kwa mapenzi ya kweli yalomjaa, lazima awe na ham ya kuongea nae.
Mapenzi hayafichiki jamani.

Sina nia ya kumuumiza bibie, ila mimi nataka apone, atoe hilo jino bovu ambalo kila mda anajigonga linamuumiza, bora abaki na pengo awe huru, kama jino litaota jipya mbele ya safar.

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
Wanawake mna tafsiri mbovu Sana ya neno KUPENDA (love).

Mfano Kama Wewe apo,
Umeshindwa kabisa kutofautisha neno Kupenda (love)na neno MAHABA (romance)

Naweza
Kua nakupenda sana, ila nisiwe na mahaba na Wewe.

Ila naweza pia,
Kua na mahaba Sana Wewe, ila nisikupende.

Usichanganye vitu viwili hivi mkuu, utapata shida kutuelewa[emoji4]
 
Kwa penzi jipya,
Jamaa yako Yuko sahii sana kufanya hivyo anavyokufanyia,

Hiyo Ni mbinu ya kibaharia ya wanaume tulio wengi kua harsh na disminder siku za mwanzoni kabisa za penzi ili usijione special Sana kua nae Kwny mahusiano.

Uyo jamaa ndo hivyo anataka kukuteka kihisia, ummiss kila mda na, ujiulize maswali yasokua na majibu na ktk hizo purukushani bila kujua unajikuta umempenda Zaid na Zaid.

Real gentlemen,
Mnajua Nini namaanisha[emoji4][emoji109]
Alpha male ( Bad boy )
 
Mimi nimemwambia ukweli, na huo ndo ukweli kwa wanaume wote, hamna cha kutaka kuwa peke yako wala cha u busy, hata kama unafanya kazi bank, wakati wakula hata ka sms kamoja utatuma, kama mnyanyua zege ndo kabisa utatafuta upenyo uskie sauti ya mrembo.

Hizo mambo za kua eti sim mda wote sjui nini na nini hujapenda.

Hembu msome dada umuelewe.
-usiku mda alosema ndo apigiwe na dada yetu, jamaa anaongea kidogo anaaga.
-lakini mara nyingi dada anakuta sim yake iko busy jamaa anaongea na sim nyingine.
-tena kuna mda anamwambia nakupigia nakupigia ndo imetoka hiyo.
-sms mchizi hataki kujibu.

Kwa mwanaume aliependa anamwita mchumba na kumuelekeza mazingira ya kazi vizuri, lakini pia akiwa free mdada ataona bashasha za jamaa kwa mapenzi ya kweli yalomjaa, lazima awe na ham ya kuongea nae.
Mapenzi hayafichiki jamani.

Sina nia ya kumuumiza bibie, ila mimi nataka apone, atoe hilo jino bovu ambalo kila mda anajigonga linamuumiza, bora abaki na pengo awe huru, kama jino litaota jipya mbele ya safar.

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
Huu ni ukweli kabisaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake mna tafsiri mbovu Sana ya neno KUPENDA (love).

Mfano Kama Wewe apo,
Umeshindwa kabisa kutofautisha neno Kupenda (love)na neno MAHABA (romance)

Naweza
Kua nakupenda sana, ila nisiwe na mahaba na Wewe.

Ila naweza pia,
Kua na mahaba Sana Wewe, ila nisikupende.

Usichanganye vitu viwili hivi mkuu, utapata shida kutuelewa[emoji4]
Mkuu mimi ni me, ila najua unacho jaribu kumaanisha hapo, ila ukweli ndo huo,utakuta kuna sehem huyo jamaa, anapiga sim kila saa,anachat mpaka basi, ila kwa dada yetu ndo anajifanya kua mzito, mkuu njia kuu lazima mwanaume awe makini nayo hatakama ana mchepuko, ahsante.

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
 
Wanawake mna tafsiri mbovu Sana ya neno KUPENDA (love).

Mfano Kama Wewe apo,
Umeshindwa kabisa kutofautisha neno Kupenda (love)na neno MAHABA (romance)

Naweza
Kua nakupenda sana, ila nisiwe na mahaba na Wewe.

Ila naweza pia,
Kua na mahaba Sana Wewe, ila nisikupende.

Usichanganye vitu viwili hivi mkuu, utapata shida kutuelewa[emoji4]
Yaani Wewe nadhani una tabia ya kupinga kila kitu hebu ukiachana na Uwanaume wako ambao unaona ukimuunga mtoa mada kwamba alipo si sahihi isome tena mada uelewe vizuri then uje kuchangia
 
Mimi nimemwambia ukweli, na huo ndo ukweli kwa wanaume wote, hamna cha kutaka kuwa peke yako wala cha u busy, hata kama unafanya kazi bank, wakati wakula hata ka sms kamoja utatuma, kama mnyanyua zege ndo kabisa utatafuta upenyo uskie sauti ya mrembo.

Hizo mambo za kua eti sim mda wote sjui nini na nini hujapenda.

Hembu msome dada umuelewe.
-usiku mda alosema ndo apigiwe na dada yetu, jamaa anaongea kidogo anaaga.
-lakini mara nyingi dada anakuta sim yake iko busy jamaa anaongea na sim nyingine.
-tena kuna mda anamwambia nakupigia nakupigia ndo imetoka hiyo.
-sms mchizi hataki kujibu.

Kwa mwanaume aliependa anamwita mchumba na kumuelekeza mazingira ya kazi vizuri, lakini pia akiwa free mdada ataona bashasha za jamaa kwa mapenzi ya kweli yalomjaa, lazima awe na ham ya kuongea nae.
Mapenzi hayafichiki jamani.

Sina nia ya kumuumiza bibie, ila mimi nataka apone, atoe hilo jino bovu ambalo kila mda anajigonga linamuumiza, bora abaki na pengo awe huru, kama jino litaota jipya mbele ya safar.

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
Fact 💯
 
Wanawake mna tafsiri mbovu Sana ya neno KUPENDA (love).

Mfano Kama Wewe apo,
Umeshindwa kabisa kutofautisha neno Kupenda (love)na neno MAHABA (romance)

Naweza
Kua nakupenda sana, ila nisiwe na mahaba na Wewe.

Ila naweza pia,
Kua na mahaba Sana Wewe, ila nisikupende.

Usichanganye vitu viwili hivi mkuu, utapata shida kutuelewa[emoji4]
Aisee..kumbe unaweza pendwa na kusiwe na mahaba
Na kuna mahaba ila si kupendwa🤔
Wanaume nyiee
 
[emoji134][emoji134]mmh Mungu nisaidie sijui km nitaweza hii

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume wengi tuanaamini hivyo,

Ya kwamba,
the way unavobehave mwanzoni mwa mahusiano yako ndo itakua hatma na mwendelezo wa penzi lako uko mbeleni.

Memory ya mwanamke always inashika kile kile Cha mwanzo ulichomzoesha.

Ukijifanya:-
[emoji117]Muomba msamaha kila unapokosea, hakikisha Utamantain. Mbeleni ukikosea bila kupiga goti chini HAYAISHI.

[emoji117]Muomba ruhusa kila ukitaka kufanya Jambo lako, mwanamke wako atakukariri hivyo hivyo. Ole wako usitoe taarifa.

[emoji117]Mpiga Simu na kupokea kila saa,uhakikishe UTakua hivyo daima.
Ole wako Simu isipokelewe, Jipange kununiwa.

[emoji117]Unamtimizia kila anachohitaji kila siku, hakikisha UTakua hivyo hadi siku za usoni.
Ole wako ahitaji kitu afu useme huna, mapenz yanapungua.


Kwaiyo Ni muhimu mwanaume utengeneze vizur hatma ya penzi lako la malengo mapema kabisa.
 
Kitu kinacho waunganisha wapendanao ni mawasiliano na anayekupenda kwa dhati hachoki kuwasiliana nawe tena na tena.
Ila sio kila saa siku nzima,
mtoa mada keshasema wazi kua jamaa huwa anamtafuta usiku.

Ambapo Ni Jambo jema Sana kwa ustawi wa mapenz, hasa penzi jipya.
 
Ananiumiza ujue naimiss sauti yake siipati simu zangu hapokei naweza mpigia even ten times kwa mida ya Asubuhi na jioni hapokei lakini mida ya usiku chap anapokea tunaongea but napo hatuongei sana!!!! Mi napenda kutext kuliko kuongea sasa ukimtext even huo usiku still ha reply better umpigie mtaongea au anaweza sema nakupigia alafu hapigi ananichosha natamani nianzishe mahusiano mengine.

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Njoo hapa haraka Sana Ila uwe na sifa hizi

-uwe nakipato halali na halisi
-uwe na nyumba angalau moja na gari yakutembelea
-usiwe mlevi
-uwe tayar kunihudumia na mda wote uwe tayar kuchat nakuzungumza kwa mahaba

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
-ninaishi nawazaz wangu nanimiliki simu moja ya tecno
-nina watoto watatu wa nje
-sina pesa,nyumba Wala gari
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]Msema kweli ni mpenzi wa mungu mambo mengne tutafundishana!
 
[emoji87][emoji134][emoji848]
Nimecheka duh!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo uhalisia huo dada angu,

Mara kibao Naweza kua sina kazi yamaana nafanya, ila Niko bize TU humu jf Ila nisihitaji kuwasiliana na mpenz wang.
(Akapiga sim nikaikata, au kutext nisijibu)

Hapo
Sio kwamba simpendi,Ila nahitaji tu space niwe na free Tu na maisha mengine.
 
Aaaa
Njoo hapa haraka Sana Ila uwe na sifa hizi

-uwe nakipato halali na halisi
-uwe na nyumba angalau moja na gari yakutembelea
-usiwe mlevi
-uwe tayar kunihudumia na mda wote uwe tayar kuchat nakuzungumza kwa mahaba

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
-ninaishi nawazaz wangu nanimiliki simu moja ya tecno
-nina watoto watatu wa nje
-sina pesa,nyumba Wala gari
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]Msema kweli ni mpenzi wa mungu mambo mengne tutafundishana!
Aaaah hii hatari ndugu we endelea kupendana na Mungu tu humpati hy 😂😂😂
 
Yaani Wewe nadhani una tabia ya kupinga kila kitu hebu ukiachana na Uwanaume wako ambao unaona ukimuunga mtoa mada kwamba alipo si sahihi isome tena mada uelewe vizuri then uje kuchangia
Mi mwanaCCM bhana,
Nitake radhi Nuzulati [emoji4]
 
Back
Top Bottom