Nampenda ila mawasiliano ni changamoto

Nampenda ila mawasiliano ni changamoto

Aisee..kumbe unaweza pendwa na kusiwe na mahaba
Na kuna mahaba ila si kupendwa[emoji848]
Wanaume nyiee
Huo ndo uhalisi dada angu,

Na wanawake wengi hupoteza wanaume wanaowapenda kwa dhati kwa kuyapa kipaumbele mahaba badala ya mapenzi.

Wanaume wengi waongo waongo huwa Ni wazuri sana kwny mahaba kuliko mapenzi.

Maana wanajua Nini wanawake wanataka kwa wakati upi,
yaan saikolojia ya mwanamke husika inakua kiganjani mwake anakuaga kama anaswipe TU menu yake kucheza na akili yake.

Hebu Chunguza vizur Yna2,
Ndo maana wanaume wengi wenye mahaba ya kweli, yaani Yale mahaba niue ya moyoni.
Hupoteza wapenzi wengi wanaowapenda Sana kwasababu ya kupungukiwa kitu kinaitwa mahaba.
 
Huo ndo uhalisi dada angu,

Na wanawake wengi hupoteza wanaume wanaowapenda kwa dhati kwa kuyapa kipaumbele mahaba badala ya mapenzi.

Wanaume wengi waongo waongo (hasa extroverts) huwa Ni wazuri sana kwny mahaba kuliko mapenzi.

Maana wanajua Nini wanawake wanataka kwa wakati upi,

Chunguza vizur Yna2,
Ndo maana wanaume wengi (hasa introverts) wenye mahaba ya kweli, yaani Yale mahaba niue ya moyoni.

Hupoteza wapenzi wengi wanaowapenda Sana kwasababu ya kupungukiwa mahaba.
Aisee..Basi nashukuru ndugu yangu kwa kunijuza...hii comment Ni ya kufanyiwa lamination kabisa.. Ahsante Sana
 
Tatizo majobless washawazoesha vibaya..muda wote kupigiana pigiana simu kama mmeuziana shamba...

Wanaume wenye kazi hatupendi hii kitu
 
Aisee..Basi nashukuru ndugu yangu kwa kunijuza...hii comment Ni ya kufanyiwa lamination kabisa.. Ahsante Sana
Anachopaswa kufanya uyu mdada,

Ni kujihakikishia nafas yake kwanza kwa jamaa Kama kweli anampenda kutoka moyoni au anamzingua.

Na Hapo ndipo ulipo mtihani mwngn,
Sisi wanaume mwanamke tunayempenda hata hafananii kabisa na wanawake wale ambao tunapita nao kila siku.
 
Ananiumiza ujue naimiss sauti yake siipati simu zangu hapokei naweza mpigia even ten times kwa mida ya Asubuhi na jioni hapokei lakini mida ya usiku chap anapokea tunaongea but napo hatuongei sana!!!! Mi napenda kutext kuliko kuongea sasa ukimtext even huo usiku still ha reply better umpigie mtaongea au anaweza sema nakupigia alafu hapigi ananichosha natamani nianzishe mahusiano mengine.

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Hapo ndipo unapokosea..
 
Kumbe una ubishi wa asili
Ha ha ha....
Tatizo lenu nyie wanawake mnapenda Sana kuskia yale maskio yenu yanapenda kuskia.

Comment ya mwanaume mmoja kwenye Uzi, isikufanye ukadrive into conclusion kusapoti anachokilalamikia mtoa mada kwamba tunapaswa kua vile.

Nmeongea Kama Mwanaume, na hiyo ndio nature yetu wengi tulivyo.

Na hapa naamini watakuja wanaume wengine kuongea Kama Mimi.

Trust me,
msimpotoshe mwenzenu kwamba avunje mahusiano, yapaswa avute subira kwanza.
 
Ananiumiza ujue naimiss sauti yake siipati simu zangu hapokei naweza mpigia even ten times kwa mida ya Asubuhi na jioni hapokei lakini mida ya usiku chap anapokea tunaongea but napo hatuongei sana!!!! Mi napenda kutext kuliko kuongea sasa ukimtext even huo usiku still ha reply better umpigie mtaongea au anaweza sema nakupigia alafu hapigi ananichosha natamani nianzishe mahusiano mengine.

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Hivyo ndo Safi Sasa,

Unavozidi kuumia, unavozidi kummiss, ndivyo unavozidi kukolea penzini.

Amini usiamini,
Wife material ndo huwa anatafutwa hivi hivi,full vitimbi na sarakasi ili mradi TU kupima uvumilivu, hekima na upendo wako kwake.

Uyo jamaa yetu hakika Anaupiga mwingi.[emoji106]

Na ukitulia vizur kipind hiki,
Wallah Pete unavalishwa,ndoa inafungwa na unaolewa kabisa.

Wanaume tunapenda Sana wanawake SUBMISSIVE kwa maisha ya NDOA.[emoji4][emoji106]
 
Tatizo lako uko desperate Sana na Ayo mahusiano, jamaa Yuko bize na shughuli zake.

Binafsi,Niko hivyo pia.
Ayo mahusiano ya kupigiana pigiana Simu kila saa siku nzima, yanaboa sana asikwambie mtu.

Ili muenjoy mahusiano,inabd mpeane space.

Jamaa yako Yuko sahii 100%[emoji106]
Ukimpemda mtu vizuri utatamani kila saa uongee nae au uchati naye hata kama upo busy. Haya mambo yasikieni tu.
Ila mtu kama hajakuingia vizuri, ndio haya maneno uliyoandika yanaposhika nafasi
 
Huyo jamaa hayupo interest nawewe, alikutongoza ila baada ya kumkubalia kaona kuna mambo hayamvutii,anatamani ukate tamaa muachane, call zako na sms zako zinamkera, hakupendi.

Ushauri wangu:
Futa namba, futa sms zote, details zote kutoka kwake safisha,piga magoti umuombe Mungu msamaha kwa kudumbukiza moyo wako kwenye chaka la miiba, kisha muombe Mungu akupe ujasiri kwenye mwanzo mpya.Achana na huyo jamaa.

Nakuambia hivi kwakua tunajijua wanaume, mwanaume akipenda mwanamke hawi hivo Dadaake, hapo unapoteza mda,sjui ushampa au bado, ukimpa ndo kabisaa, ukinasa mimba ndo umekwisha kabisa, acha kujitesa mrembo.
Ujumbe wako naufanyia kazi nimeusoma nimeuelewa naona ndo kilichopo vocha yangu dk zangu mtu kupokea tu anaona tabu anakaa kimya whole the day...aya umekuwa busy ulivyorud job calls zangu haoni,mbona still hapigi even text labda nijaribu tena Mimi kumpigia.

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
 
Ujumbe wako naufanyia kazi nimeusoma nimeuelewa naona ndo kilichopo vocha yangu dk zangu mtu kupokea tu anaona tabu anakaa kimya whole the day...aya umekuwa busy ulivyorud job calls zangu haoni,mbona still hapigi even text hajibu labda nijaribu tena Mimi kumpigia.kama ulivyonambia inabidi ni delete No.

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
 
Ananiumiza ujue naimiss sauti yake siipati simu zangu hapokei naweza mpigia even ten times kwa mida ya Asubuhi na jioni hapokei lakini mida ya usiku chap anapokea tunaongea but napo hatuongei sana!!!! Mi napenda kutext kuliko kuongea sasa ukimtext even huo usiku still ha reply better umpigie mtaongea au anaweza sema nakupigia alafu hapigi ananichosha natamani nianzishe mahusiano mengine.

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Unampigia mtu simu mara kumi ana figo yako? Hebu acha masihara, piga mara moj asipopokea subiri akute misscll akupigie yeye.
 
Huyo jamaa hayupo interest nawewe, alikutongoza ila baada ya kumkubalia kaona kuna mambo hayamvutii,anatamani ukate tamaa muachane, call zako na sms zako zinamkera, hakupendi.

Ushauri wangu:
Futa namba, futa sms zote, details zote kutoka kwake safisha,piga magoti umuombe Mungu msamaha kwa kudumbukiza moyo wako kwenye chaka la miiba, kisha muombe Mungu akupe ujasiri kwenye mwanzo mpya.Achana na huyo jamaa.

Nakuambia hivi kwakua tunajijua wanaume, mwanaume akipenda mwanamke hawi hivo Dadaake, hapo unapoteza mda,sjui ushampa au bado, ukimpa ndo kabisaa, ukinasa mimba ndo umekwisha kabisa, acha kujitesa mrembo.
[emoji817][emoji817]
 
Huyo jamaa hayupo interest nawewe, alikutongoza ila baada ya kumkubalia kaona kuna mambo hayamvutii,anatamani ukate tamaa muachane, call zako na sms zako zinamkera, hakupendi.

Ushauri wangu:
Futa namba, futa sms zote, details zote kutoka kwake safisha,piga magoti umuombe Mungu msamaha kwa kudumbukiza moyo wako kwenye chaka la miiba, kisha muombe Mungu akupe ujasiri kwenye mwanzo mpya.Achana na huyo jamaa.

Nakuambia hivi kwakua tunajijua wanaume, mwanaume akipenda mwanamke hawi hivo Dadaake, hapo unapoteza mda,sjui ushampa au bado, ukimpa ndo kabisaa, ukinasa mimba ndo umekwisha kabisa, acha kujitesa mrembo.
Wewe huwajui wanawake wanaopenda kuchat wewe... yani mtu siku nzima anataka mpigiane simu mara msg sijui Video call watu wapo busy na kazi inabdi uelewe hivyo
 
Hivyo ndo Safi Sasa,

Unavozidi kuumia, unavozidi kummiss, ndivyo unavozidi kukolea penzini.

Amini usiamini,
Wife material ndo huwa anatafutwa hivi hivi,full vitimbi na sarakasi ili mradi TU kupima uvumilivu, hekima na upendo wako kwake.

Uyo jamaa yetu hakika Anaupiga mwingi.[emoji106]

Na ukitulia vizur kipind hiki,
Wallah Pete unavalishwa,ndoa inafungwa na unaolewa kabisa.

Wanaume tunapenda Sana wanawake SUBMISSIVE kwa maisha ya NDOA.[emoji4][emoji106]
Acha kumpotosha! mimi ni Me pia na nina tabia hiyohiyo.
Kuna wakati natongoza mwanamke yeyote aliyejichanganya just because m a man and m single na akishakubali naanza vitibwi vya aina hiyo. It always doesn't end well hasa kwa Ke.

Mimi namshauri awe makini asije potezewa muda na maumivu juu.
 
Unampigia mtu simu mara kumi ana figo yako? Hebu acha masihara, piga mara moj asipopokea subiri akute misscll akupigie yeye.
Natumiaga excuse ya ubusy pia ninapokua siko interested na mtu.
Hivi kweli masaa 24 yote unakua busy, unafanya research za kutibu cancer au?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyu binti anapotezewa muda.
 
Natumiaga excuse ya ubusy pia ninapokua siko interested na mtu.
Hivi kweli masaa 24 yote unakua busy unafanya research za kutibu cancer au?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyu binti anapotezewa muda.
Asante kwa ushauri ni kweli ata Mimi naliona ilo mtu unaempenda lazima uwe na time nae!!!!

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
 
Acha kumpotosha! mimi ni Me pia na nina tabia hiyohiyo.
Kuna wakati natongoza mwanamke yeyote aliyejichanganya just because m a man and m single na akishakubali naanza vitibwi vya aina hiyo. It always doesn't end well hasa kwa Ke.

Mimi namshauri awe makini asije potezewa muda na maumivu juu.
Cha muhimu achunguze
 
Tatizo lako uko desperate Sana na Ayo mahusiano, jamaa Yuko bize na shughuli zake.

Binafsi,Niko hivyo pia.
Ayo mahusiano ya kupigiana pigiana Simu kila saa siku nzima, yanaboa sana asikwambie mtu.

Ili muenjoy mahusiano,inabd mpeane space.

Jamaa yako Yuko sahii 100%[emoji106]
hahahahaha
 
Back
Top Bottom