Nampenda ila mawasiliano ni changamoto

Nampenda ila mawasiliano ni changamoto

wewe nae usilazimishee hiyo wanaume wote wapi sema wanaume jobless ndo wana mapenzi ya hivo
kwanza mwanamke gentleman anaejiamini huwezi mkutaa anateseka na kuchat chat ama kuongea na mwanamke

Mimi kama mwanamke simpendii mwanaume asiejiamini kila saa kupiga simu sijui sms

unatakiwa ukipigiwa wakati mwinginee usipokee makusudii sio upo available kila wakatiii
upuuzi tu
Sawa, ila uko kwenye high tempa yaonyesha mtu wako pia hakupigiagi eeh[emoji23]pole ila ukweli ni kwamba mwanaume akipenda lazma akujali pia, ukiona hakujali usijidanganye ati ndivyo alivyo, jua kuna sehem anawasiliana vizuri tu.

Kumjulia hali mtu wako eti uko job less, unashangaz sana, mawasiliano hayan cha jobless wala nani, kuwasiliana kupo tu, hata mara 2 kwa siku, mnatumia walau dakika moja.

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
 
wewe nae usilazimishee hiyo wanaume wote wapi sema wanaume jobless ndo wana mapenzi ya hivo
kwanza mwanamke gentleman anaejiamini huwezi mkutaa anateseka na kuchat chat ama kuongea na mwanamke

Mimi kama mwanamke simpendii mwanaume asiejiamini kila saa kupiga simu sijui sms

unatakiwa ukipigiwa wakati mwinginee usipokee makusudii sio upo available kila wakatiii
upuuzi tu
Alafu mwanamke gentlemani ni wa aina gan huyo? Sijawah mwona[emoji205][emoji205]

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
 
Achana nae njoo kwangu
Huyu kaka tangu ani approach simwelewi. Alionyesha hisia za kunipenda na Mimi nikavutika naye.

Tumeanzisha mahusiano lakini swala la mawasiliano limekuwa changamoto. Amenambia nimtafute usiku tu anakuwa busy sana na kazi Mara nyingi nikimpigia simu hapokei nikimtext hajibu Ila kuna muda nakut call waiting nahisi kuchoka.

Natamani mda mwingi tuwe tunawasiliana awe ananipa faraja nione na upendo wake pia yani nampigia simu hadi basi lakini hapokei ukija kumuuliza uo usiku mnapoongea anasema alikuwa busy sana na kazi za ofisi.

Ushauri wenu nampenda sana changamoto sipati mawasiliano kutoka kwake.
 
Ananiumiza ujue naimiss sauti yake siipati simu zangu hapokei naweza mpigia even ten times kwa mida ya Asubuhi na jioni hapokei lakini mida ya usiku chap anapokea tunaongea but napo hatuongei sana!!!! Mi napenda kutext kuliko kuongea sasa ukimtext even huo usiku still ha reply better umpigie mtaongea au anaweza sema nakupigia alafu hapigi ananichosha natamani nianzishe mahusiano mengine.

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Utachokwa sasa hivi. Nenda taratibu binti
 
I give him a time from tomorrow I m not going to search him in that point najua nitapata majibu yalio kamili kama ananipenda atanitafuta tena and if ikiwa forever bac alikuwa ana ni test.

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
kuna sehemu nyengine mtu akiajiriwa haruhusiwi kushika simu mpaka mda wa kutoka, ungemuuliza pia
 
Kumbe?!

Lakini naona mnakosea kama ni hivyo!

Actually hicho unachokisema ni kweli kinafanyika kwenu miongoni mwa mnaojiita
Maharia lakini nimwambie kitu kufanya hivyo si Sawa!

Yani labda kama mwanamke huja mpenda kwa dhati sawa lakini kwa unayempenda kwa dhati haifai kufanya hivyo.

Hata asipokwambia lakini unamfanya kuzani huenda umeghairi kumpenda na kujitoa kwenye penzi mazima!

Yani laiti mngejua kuchechea huba pale ambapo mwanamke yuko high mngeweza kufurahia sana penzi kwa pamoja msingafanya hayo.

Sikatai ni kweli kabisa Mwanaume inabidi apewe nafasi ya kufanya mambo yake mengine hii ni kanuni kabisa ambapo wanawake wanapaswa kuijua lakini isizidi.

Lakini Mwanamke yuko high Mwanaume unapoaaaa, ukija kujifanya unaanza kuwa mwanamke anakuwa ameshapoa sasa hapo kunakuwa na raha gani?!
Kama Kesha mtafuna itakuwa hamtaki , mambo ya connection huwa Ina tegemea kwa ntu na ntu
 
Hii ngoma iko vice versa,

Tukiwa tunawatongoza,
Tunakuaga HIGH na kutumia Nguvu nyingi sana, uku nyie nmnakuaga LOW na maringo kibao.

Tukishawapata,
Tunakuaga low ili kupumzika na uchovu wa pilikapilika za kuwatongoza, wkt huo nyie ndo mnakua HIGH ili kuenjoy penzi jipya.

Kwaiyo,
Ni Mwendo wa kupindua pindua meza tu.

Hii ndivyo NATURE ilivyo[emoji4]
Naam mbwa kala mbwa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ujumbe wako naufanyia kazi nimeusoma nimeuelewa naona ndo kilichopo vocha yangu dk zangu mtu kupokea tu anaona tabu anakaa kimya whole the day...aya umekuwa busy ulivyorud job calls zangu haoni,mbona still hapigi even text labda nijaribu tena Mimi kumpigia.

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Huyo hakupendi achana nae , nipe namba yako nikusaidie kukushauri
 
Unampigia mtu simu mara kumi ana figo yako? Hebu acha masihara, piga mara moj asipopokea subiri akute misscll akupigie yeye.
[emoji16][emoji16][emoji16] muache mwenzio kapenda
 
Natumiaga excuse ya ubusy pia ninapokua siko interested na mtu.
Hivi kweli masaa 24 yote unakua busy, unafanya research za kutibu cancer au?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyu binti anapotezewa muda.
For sure ,, Jamaa anakuta missed call na text lakini hata hamtafuti [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Jamaa anajua Sana kukeep standard nimemuelewa bure
 
Ndo uhalisia huo dada angu,

Mara kibao Naweza kua sina kazi yamaana nafanya, ila Niko bize TU humu jf Ila nisihitaji kuwasiliana na mpenz wang.
(Akapiga sim nikaikata, au kutext nisijibu)

Hapo
Sio kwamba simpendi,Ila nahitaji tu space niwe na free Tu na maisha mengine.
Hata mimi nipo hivyo, kuna mtu akikuona tu upo online anaanza kukutumia message, yaani naudhika na saa hiyo hiyo natoka online ninakuja kumjibu baadae sana
255654256660_status_9f21b17ee27d4e10b75596c31c8ed4ea.jpg
 
Back
Top Bottom