Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unione ili uanze kunisambaza kwa watu..😁😁
Jamani!! 😂😂😂😂Unione ili uanze kunisambaza kwa watu..😁😁
Asante sanaaaa kwa kunipenda chief.
Kwakuwa bado tuko duniani,,,tutaonana tu
No swez kukusambaza Darling😂😂😘😘Unione ili uanze kunisambaza kwa watu..😁😁
Asante sanaaaa kwa kunipenda chief.
Kwakuwa bado tuko duniani,,,tutaonana tu
Mtoto huyu yupo chuga hapa(According to posts za JF) mbona unafeli mkuu?..hiyo namaliza, hakuna shaka
Mama yako huyo shauri yakoKama kichwa cha habari kinavyosema, nimetokea kumuelewa huyu member wa humu Jf, anaeitwa ledada, Kama utaisoma hii posti ledada jua nakuelewa sana, na npo tayari kukuoa kwa gharama yoyote ile, nakupenda
Mtoto unataka kuoa single auntKama kichwa cha habari kinavyosema, nimetokea kumuelewa huyu member wa humu Jf, anaeitwa ledada, Kama utaisoma hii posti ledada jua nakuelewa sana, na npo tayari kukuoa kwa gharama yoyote ile, nakupenda
Hapo naunga mkono hoja. Na kwa kukusaidia na kumsaidia yeye, badala ya kuwa flat mi nawekamo kale kakitumbua pendwa kabisa... Nate akojoe akiwa kachuchumaaIf that the case then no problem..namuendolea dushe panakuwa flat
Mtoto unataka kuoa single auntKama kichwa cha habari kinavyosema, nimetokea kumuelewa huyu member wa humu Jf, anaeitwa ledada, Kama utaisoma hii posti ledada jua nakuelewa sana, na npo tayari kukuoa kwa gharama yoyote ile, nakupenda
Nimeshageuka darling sasa😅😅No swez kukusambaza Darling😂😂😘😘
😂😂😂Nimeshageuka darling sasa😅😅
Utachonga vyasi 😆😆😆
PM imefungwa [emoji38]Mfuate PM
Mzee baba upoTukupe namba yake?
Kumbe litamu ivo [emoji849]ledada unaitwa huku my sister naona naelekea kupata mshemeji..
Nendeni uvunguni muyajenge tule pilau sisi..[emoji39]
Lkn mkuu utamuweza kweli maana dada yangu huyu ni dada dada kweli! Toto toto yeye sio figure ya mwendo kasi,Bali figure ya figunye na Toto tamu ya kiafrika kwa manjonjo na kadharika..[emoji28]
Jipange ndugu nakutakia heri na dada yangu huyu wa hiari..
Mzee umestafu nnKumekucha kumekuchaa
Mkuu dream league umefika division ya ngapi..? Mi nimekomea div 4 pagumu sana hapo na ukilitimba ni mwingi.😬😬Kumbe litamu ivo [emoji849]
Nipo kiongoziMzee baba upo
Hahaha umri umeendaMzee umestafu nn