The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Unaweza kukuta mleta mada na huyo anayependwa ni huyo huyo mtu mmoja tu ila kaja kivingine,
Hii ndio JF bhana!
Hii ndio JF bhana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshindwa kuonyesha umwamba wako PM umekuja kuomba msaada kwa umma[emoji4][emoji4]Kama kichwa cha habari kinavyosema, nimetokea kumuelewa huyu member wa humu Jf, anaeitwa ledada, Kama utaisoma hii posti ledada jua nakuelewa sana, na npo tayari kukuoa kwa gharama yoyote ile, nakupenda
Salama aisee mambo vipMshipa mwenyewe [emoji1]
Habari yako?
Poa sana mshipaSalama aisee mambo vip
Mungu ni mwemaPoa sana mshipa
HahahahMkuu dream league umefika division ya ngapi..? Mi nimekomea div 4 pagumu sana hapo na ukilitimba ni mwingi.[emoji51][emoji51]
Tuwaachie madogo.Hahaha umri umeenda
Sijui navukaje hiyo div 4 Kuna figisu sana na njemba zinacheza hatari..😅Hahahah
Kwa sasa niko bus simulator indonesia.
Dream mara moja moja sana
Niko division 3
PM labda kuna kufuli, kaamua kuja kutoa kiungulia chake hadharaniUmeshindwa kuonyesha umwamba wako PM umekuja kuomba msaada kwa umma[emoji4][emoji4]
Acha kabisaSijui navukaje hiyo div 4 Kuna figisu sana na njemba zinacheza hatari..[emoji28]
fanya mpango uhack au hupendi kitonga lagerMkuu dream league umefika division ya ngapi..? Mi nimekomea div 4 pagumu sana hapo na ukilitimba ni mwingi.😬😬
Nimehack Nina coin si mchezo machezaji marefu 204 cm na wapo 100 wote..😅fanya mpango uhack au hupendi kitonga lager
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee dea lakn mbna ivo khaaah.Wacha bhana [emoji16]
Njoo basi kwa id ya zamani Chief hii itaniwia vigumu kuniona[emoji38][emoji38]
[emoji8][emoji8][emoji8]
Nipo bro.
Mambo vipi??? Wanasemaje huko?? Huyu njiwa unamuwinda umemkosa huko chugga mpaka amekuja huku town tutafanikiwa kweli???