Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

kiplagati26

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2012
Posts
305
Reaction score
135
Nampenda Madamu B naitaji kujua je ni msichana, na kama msichana je kaolewa, kiukweli nimevutiwa sana na coment zake post na jokes nyingi ambozo zilitengeneza isia za mapenzi juu yake mara nyingi natembelea jukwaa ili la MMU Ingawa sio mchangiaji saanaa, panapotokea ushauri natoa (lejea mada) kama ni Msichana na aujaolewa basi naomba nafasi japo ni fungue ukurasa mpya wa mapenzi nawe, na punde nitakapolejea Tz tuendelee next stage.

Kifupi makazi yangu yapo Monduri Arusha.. Niko china commando training course toka mwishoni wa mwaka wa jana nitapendeza univishe taji soon mwaka 2014 pale Ngerengere morogoro baada ya mafunzo ya miaka mingi ya ukomando na kuwa komando kamili nikimaliza salama mwakani na kupata nishani hiyo niliyoitafuta kwa muda mrefu cheo changu ni Luteni soon nitakua captan ukweli ni wakati sahihi wa mimi kuwa na familia sasa.

Madam B plz ni PM kweli naomba nafasi tuanzishe familia nzuri yenye amani na upendo wa dhati ili tusonge mbele kimaisha ingawa napenda sana mke ambaye sio mwanasiasa na kama mwanasiasa basi awe mpinzani nakupenda Madam B.

"Maisha yanawezekana ukiwa na Nia' ni PM kwa ukwel zaidi.
 
. Niko china commando training course toka mwishoni wa mwaka wa jana nitapendeza univishe taji soon mwaka 2014 pale Ngerengere morogoro baada ya mafunzo ya miaka mingi ya ukomando na kuwa komando kamili nikimaliza salama mwakani na kupata nishani hiyo niliyoitafuta kwa muda mrefu cheo changu ni Luteni soon nitakua captan ukweli ni wakati sahihi wa mimi kuwa na familia sasa.
Yaani wewe kwa kuwa ni komando basi unavamia wake za watu na kutaka wawe wake zake, angalia kijana. Ukomando wenyewe wa kichina.

Madam B njoo huku unatafutwa na Komando.
 
Last edited by a moderator:
Ukomando ni nishani? Wacha kudanganya watu hapa.....We hata mlango wa Ngerengere huujui. Comando course China? How long? Eti Komando au ndio gia yako hiyo? Ngoja aje Le Madame B mwenyewe mtoto wa Forodhani akujibu. Kuja huku we mwanamke.
 
Last edited by a moderator:
Unge PM kwanza!! Alafu baadaye ndo ukaleta Feedback!! Alafu mbona makomandoo huwa ni wasiri sana!
 
Mjeda anataka kujilipua kwa madame b , kazi kwel kwel . Na wasiwasi huna leseni ya kuweza kuiendesha hyo mashine .
 
Sasa Madame B ulikuwa unanisumbua sumbua sas huyo ndege tunduni!!zile habari zako nikupeleke kwa mganga wa mapenzi!ulikuwa umeisha nichosha kilasiku ila nilikuwa naona soo kukwambia maana kila ukiona kibao mganga wakienyeji kutoka sumbawangu,nigeri ulikuwa ukitaka kujua habari zake!!Sasa utapumzika kuwa Popo tuachie upopo mimi na Paloma, amu, Zion Daughter, Vin Diesel Kipaji Halisi, figganigga, gfsonwin>>>>BTW ntakumisi kwenye baa zetu za usiku mwingi Paloma ongeza uzito tutammiss sana maana komando akikustukia anakuvunja mbafu!!:rockon::rockon::rockon::rockon:
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom