Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

acheni kumzodoa mkaka wa watu, kwani mwafikiri ngerengere wanasoma akina nani?? nahofia tu usije ukawa ni ndugu yangu uliyekwenda kwenye hayo mafunzo mwaka juzi lolz!! hebu ni pm jina lako kwanza

ila best sijui umejuaje umepoint kweli manake lile bodi lake na komandoo ndo ataliweza ila hawa akina CHAI CHUNGU bure kabisaaaaaaaaaaaaaa.
Hahahahaha!
Naona unanipunguzia cv lol.
 
Last edited by a moderator:
lile body haki ya mungu bora limepata commando ,angefia mtu pale
Madame B Madame B toto la kinodoni mwanamke wa bashasha labda nimsaidie tu mta mada kwamba hyu ni mdada single aliwah toa bandiko hapa anatafuta mume wa kweli nafkiri hakumpata wa ukweli na mwenye dhamira kama yako. ni mcheshi, haishi vituko, ana huruma na ni mpishi mzuri kweli tena kote kote.

ni mtu wa tanga kazi yake ni mwalimu ana mtoto mmoja wa mashtuzi. utakachokifurahia kwake ni uchapa kazi na ukarimu, wala hajui kunung'unika abadan na utani kwake ndipo ulipozaliwa mweee......................mbona namwaga sifa pasi kuulizwa mieee mwaka huu ntasutwa tena . ngoja nikae kimya.
 
Last edited by a moderator:
Shemejiiiiiiiiii

mgambo-1.jpg
 
hahahahaha. Dada yangu wewe umepinda kweli

aah babuuu weweeeeeeeeeeeeeeeee hapa wapiii snowhite kwanza tukaanze kutafuta sare za send off sie na kuandaa ma maids lol!

tunahamu ya ubwawa wa mwana jamvi atiiiiiiiiiiii wewe hutaki?? hebu Madame B fanya kweli bibie nikuonyeshe faida ya kuwa na dada humu jamvini lolz!
 
Last edited by a moderator:
Ata siyo wivu,commando gani anawaza migegedo asbh asbh?
Chezeya matifu ya ukommando weye.
Antenna yenyewe haiwezi ku-search lol!

aah! wappyyyyyyyyyy ingekuwa hivyo akina Schwarzenegger wasingeoa bana ana Van Dammme mwache commando ajipatie kama umeshindwa kumiliki goma hili.

BTW itabidi fusho alofushiwa awape akina Smile na King'asti na Kongosho(ingawa zombie yupo).........mnake sion mabandiko yakija juu yao lol!
 
Last edited by a moderator:
aah babuuu weweeeeeeeeeeeeeeeee hapa wapiii snowhite kwanza tukaanze kutafuta sare za send off sie na kuandaa ma maids lol!

tunahamu ya ubwawa wa mwana jamvi atiiiiiiiiiiii wewe hutaki?? hebu Madame B fanya kweli bibie nikuonyeshe faida ya kuwa na dada humu jamvini lolz!

Kongosho kapata Zombie, Madame B kapata Komando. Shwange kote kote
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha!
Naona unanipunguzia cv lol.

wapi best wewe na story zako zote unashindwa kumpa part one part two nakuendelea hadi asahau jamvi halafu unakuja na bandiko eti simtaki kisa anaigia jukwaa la kule chini??

ona sasa unanyang'anywa tonge hivi hivi kukiwa asbhhhhhhhhhhhhhh na mapema lol!

kwaza ukiona demand iko juu jua thamani ya hivho kitu iko juu na uwezo wa kukipata unazidi kupungua sasa akija na watatu kazi itawakuta hapo chances zinid kushuka zaid zaid.
 
Kongosho kapata Zombie, Madame B kapata Komando. Shwange kote kote
nicas mdogo wangu huu uzi umenifanya nimepata nguvu ghafla baada ya kukosa kwa siku 4 hivi kisa kuuguza wanangu
eo na hi siend job mpaka kieleweke hapa hakya mungu tena............uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nimefurah mpaka basiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
hapa nasubiria snowhite aje tu na mapendekezo ya mavazi lolz!
 
Last edited by a moderator:
ndugu mtoa mada napenda kukuhakikishia kwamba kama uko siriaz basi mke utampata na atakuwa ni huyu huyu Madame B.

ila tuwekee sifa zako wewe ni kabila gani una umri gani, dini yako unapendelea nini hupenelei nini tusije kuwa tunakupigia debe kumbe kimeo lolz! za mdogo wangu nshazitaja huko juu.
 
Last edited by a moderator:
Smile hivi Madame B ana body la kutisha sana? Hebu nipe taswira ya umbile lake kwani nataka kupindua kambi!
Madame B hebu jitokeze hapo ulipo!

hivi wewe umesamaliza kulipa ada za wtto na kulima mashamba?? manake naona unatafuta brain konkashen sasa kabla ya yote acha pesa ya jeneza na za kula msiban ndipo ukapambanne na komando
 
Back
Top Bottom