gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,692
Dah! We dada wewe. Unajua maneno nyngne znaumiza? Hahahaha
lazima mtu aambiwe ukweli kama huwez yanini kubanana mjini hapa??
ukisema cha nini mwenzio, anajiuliza nitakipataje............
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! We dada wewe. Unajua maneno nyngne znaumiza? Hahahaha
Muhuni huyo!
Dah! Wewe.. Hivi mwanao eversmilin gal yupo wap?
kiplagati26 hizo ndo sifa alikuwa anahitaji je unaafiki??Je, Unafaa kuwa Mume? Ingia Hapa Kisha Jipimie.Habari Wapenzi wa safu Hii ya Luv Connect.
Baada ya Kimya cha Muda mrefu hatimaye nami najitokeza humu kusaka Mume Wa Maisha,nikimpata poa,nisipompata poa vilevile.
Sifa zake:
1. Awe na umri wa kuanzia Miaka 32 hadi 37.
2. Awe ni Muajiriwa au Kajiajiri.
3. Awe na Malengo ya Maisha.
4. Sitaki avutaye sigara,kama anavuta basi kwa kiasi.
5. Dini yoyote japo Mkristo atapewa kipaumbele.
6. Asiwe na gubu au kisirani.
7. Anayejua kupenda.
8. Angalau awe na elimu ya Chuo.
9. Awe Msafi wa roho na nafsi.
10. Awe Mkweli.
Sifa Zangu:
1. Nimeajiriwa.
2. Ni Mkristo.
3. Nina 27 yrs.
4. Nina elimu ya Chuo
Mengine tutafahamishana.
PM tu ndo zitajibiwa.
Nyongeza:
P'se kama unapenda wanawake wembamba hutonifaa,
Mimi ni Mnene wa Wastani, Mwenye Umbo la Kike.
Pia nina mtoto mmoja.
Maana maswali yamezidi.Last edited by Madame B; 28th January 2013 at 10:32.
KOMANDOO HIZI NI SIFA AMBAZO MADAM B ANATAKA NA WASIFA WAKE PIA
lazima mtu aambiwe ukweli kama huwez yanini kubanana mjini hapa??
ukisema cha nini mwenzio, anajiuliza nitakipataje............
sijui sku hizi yuko wapi ila nimemiss kwelikweli
Sii bure'FREEMASONS'wanahusika.
Vp mumpigie debe namna hiyo?mtu mwenyewe kapost kakaa pembeni,alafu eti wapambe ndio wameshupalia.
Hii never seen!hapa FREEMASONS wametia japo ukucha,sasa siwezi kuendelea kushindana na uzi unaokua busted na FREEMASONS,na log out byeeee!
Funguka!!welala utakuta wameanua wenzio!Kumbe huu ugonjwa wa wengi nisijishangae,,mie nae kuna mtu nimempenda humu ila basi tu!!
Sii bure'FREEMASONS'wanahusika.
Vp mumpigie debe namna hiyo?mtu mwenyewe kapost kakaa pembeni,alafu eti wapambe ndio wameshupalia.
Hii never seen!hapa FREEMASONS wametia japo ukucha,sasa siwezi kuendelea kushindana na uzi unaokua busted na FREEMASONS,na log out byeeee!
Madame nimekukosea nini hata like unipi siku hizi??!!!!hivi kumbe huwa unakili enh!!
Ni chungu lakini dawa. Kunywa tu.