Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,097
utakalia majungu mwezio akija hapa na hung hoooooo huyoooooooooooo anamwopoa best yako chezeya komando wewe??
hahaha. Unadhani nina maneno mie?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utakalia majungu mwezio akija hapa na hung hoooooo huyoooooooooooo anamwopoa best yako chezeya komando wewe??
Unataka kumpindua commando uchwala?
Commando mwenyewe ndio huyo wa mbele.
Ebu mwangalie alivyokata tamaa ya maisha lol!
wapi best wewe na story zako zote unashindwa kumpa part one part two nakuendelea hadi asahau jamvi halafu unakuja na bandiko eti simtaki kisa anaigia jukwaa la kule chini??
ona sasa unanyang'anywa tonge hivi hivi kukiwa asbhhhhhhhhhhhhhh na mapema lol!
kwaza ukiona demand iko juu jua thamani ya hivho kitu iko juu na uwezo wa kukipata unazidi kupungua sasa akija na watatu kazi itawakuta hapo chances zinid kushuka zaid zaid.
Ukomando ni nishani? Wacha kudanganya watu hapa.....We hata mlango wa Ngerengere huujui. Comando course China? How long? Eti Komando au ndio gia yako hiyo? Ngoja aje Le Madame B mwenyewe mtoto wa Forodhani akujibu. Kuja huku we mwanamke.
Haha. Kwani we kinakuuma nini?
nicas mdogo wangu huu uzi umenifanya nimepata nguvu ghafla baada ya kukosa kwa siku 4 hivi kisa kuuguza wanangu
eo na hi siend job mpaka kieleweke hapa hakya mungu tena............uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nimefurah mpaka basiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
hapa nasubiria snowhite aje tu na mapendekezo ya mavazi lolz!
soma hapa chini jamaa anasepaHii inaitwa Makavu live.Jamaa ameumia sana
hana lolote wivu tu unamsumbua.Ngoja niwahi zangu job,maana hapa naona ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa!
Commando!commando!Commando atakua wa hivo bhana?
Hahahaha!aaah wapppyyyyyyyyyyyyyyy,
yye na wewe nani uchwala??? manake kama tu kumpigia story kumweka bize ulishindwa si bora huyu atamweka bize kwa kumpikia na kufua ili asiingie jukwaa la chini.
mwenye kisu kikali anakula nyama tartiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibuuuuuuuuuuuuuuuuuu
hahahhahaha!
umeishia kunawa tu kula hujakula bbabuuuuuuuuuuuu
aaah wapppyyyyyyyyyyyyyyy,
yye na wewe nani uchwala??? manake kama tu kumpigia story kumweka bize ulishindwa si bora huyu atamweka bize kwa kumpikia na kufua ili asiingie jukwaa la chini.
mwenye kisu kikali anakula nyama tartiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Dogo muhuni huyo,anatafuta mbeleko ya Kupatia umaarufu jf wakati ata gobore hajawahi kulishika!
Wapo,lakini si type ya huyu kizuka!
Haha. Kwani we kinakuuma nini?
Nampenda Madamu B naitaji kujua je ni msichana, na kama msichana je kaolewa, kiukweli nimevutiwa sana na coment zake post na jokes nyingi ambozo zilitengeneza isia za mapenzi juu yake mara nyingi natembelea jukwaa ili la MMU Ingawa sio mchangiaji saanaa, panapotokea ushauri natoa (lejea mada) kama ni Msichana na aujaolewa basi naomba nafasi japo ni fungue ukurasa mpya wa mapenzi nawe, na punde nitakapolejea Tz tuendelee next stage. kifupi makazi yangu yapo Monduri Arusha.. Niko china commando training course toka mwishoni wa mwaka wa jana nitapendeza univishe taji soon mwaka 2014 pale Ngerengere morogoro baada ya mafunzo ya miaka mingi ya ukomando na kuwa komando kamili nikimaliza salama mwakani na kupata nishani hiyo niliyoitafuta kwa muda mrefu cheo changu ni Luteni soon nitakua captan ukweli ni wakati sahihi wa mimi kuwa na familia sasa. Madam B plz ni PM kweli naomba nafasi tuanzishe familia nzuri yenye amani na upendo wa dhati ili tusonge mbele kimaisha ingawa napenda sana mke ambaye sio mwanasiasa na kama mwanasiasa basi awe mpinzani nakupenda Madam B. "Maisha yanawezekana ukiwa na Nia' ni PM kwa ukwel zaidi.
Hahahaha!
Anachombeza ki digital huyo,akifika ndani anakutana na maisha ya ki analogy!
Muhuni huyo!