Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Kaptain una bahati maana na Madam B aliweka bandiko la kutafuta mpenzi nenda Love Connect tafuta Uzi wake halafu jipime uapply.

Ha ha haaaaaaa! Nilitaka kusema hivyo hivyo! Sala za Madam B zimejibiwa. Comando huyooooo kajitokeza mzima mzima. Ila Madam B ule mpango wako wa kugombea ubunge kupitia chama tawala thithiem inabidi uuache. Lol!
 
Last edited by a moderator:
Madame B Madame B toto la kinodoni mwanamke wa bashasha labda nimsaidie tu mta mada kwamba hyu ni mdada single aliwah toa bandiko hapa anatafuta mume wa kweli nafkiri hakumpata wa ukweli na mwenye dhamira kama yako. ni mcheshi, haishi vituko, ana huruma na ni mpishi mzuri kweli tena kote kote.

ni mtu wa tanga kazi yake ni mwalimu ana mtoto mmoja wa mashtuzi. utakachokifurahia kwake ni uchapa kazi na ukarimu, wala hajui kunung'unika abadan na utani kwake ndipo ulipozaliwa mweee......................mbona namwaga sifa pasi kuulizwa mieee mwaka huu ntasutwa tena . ngoja nikae kimya.

Hahahah.......... Kungwi wangu huyo.
Ok Ni kweli nimepata Ujumbe wake.............. CHAI CHUNGU na Nicas Mtei, Mbona mna wivu?
Au mnataka kunipa mdogo wenu?
Dada gfsonwin hebu Baelezee.
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin dah!!naona kama kila siku zinavyosogea ndo tunazidi kusahauliana ila mimi nakukumbuka.......ila kumbuka kumpa ushauli na watch Madame B mpe maktichen party maana ndoa hiyo inanukia!!

Mhhhhhhhhhh......... KakaKiiza, we nawe........Kitchen Party hiyo.
Naja kutoa tamko now now.
 
Last edited by a moderator:
Hahahah.......... Kungwi wangu huyo.
Ok Ni kweli nimepata Ujumbe wake.............. CHAI CHUNGU na Nicas Mtei, Mbona mna wivu?
Au mnataka kunipa mdogo wenu?
Dada gfsonwin hebu Baelezee.

Niwe na wivu kwa dada yangu? Mi namshangaa shemeji CHAI CHUNGU anavyotokwa povu. Akuache upumuweee. Hahaha. Sasa una ruhusa ya kuendelea kuwa member na kucomment kwenye jukwaa la chn kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Yerewiiiiiiiii...........................
Nakata rufaa, unanionea kwa kuwa mimi ni domo zege.
Mi ndio nampenda Madame B tangu akiwa anasoma vidudu, iweje wewe uje hapa jamvini na kutangaza ndoa?
Nipepeeni jamani naona miguu imeishiwa nguvu, na mapigo ya moyo yamebadilika, moyo unadunda utosini kisha unadunda tena kwenye nyayo.

Pole Bujibuji, domo zege linakukosesha mke hivi hivi! Makomando ni jasiri hawaogopi mtu. Komando katangaza kila kitu hadharani kisha anamwita Madam B ajongee PM.
 
Last edited by a moderator:
Nderemo na vifijo siku ya harusi.

400892_283528525092474_823651271_n.jpg
 
Mjeda CHAI CHUNGU ameamua kujidunga viroba baada ya kuzidiwa kete na Komandoo. Hahaha

557336_211641852295948_1341297232_n.jpg
 
Last edited by a moderator:
Shikamoo mama.Dada snowhite hajambo?

Marhaba mwanangu Zion Daughter, dadako snowhite hajambo. Hebu kwanza bana usinikatishe raha yangu kwenye huu uzi. Mamio namngoja kwa hamu Madam B aje atoe tamko. Boss wangu Madam B mie nakuaminia kwa speed yako ya kukanyaga key board, mbona leo uko goi goi hivyo? Toa tamko linaloeleweka boss we si unaona mwenyewe gfsonwin kishaanza kutuo mastari na sare kesha chagua?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom