Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

acheni kumzodoa mkaka wa watu, kwani mwafikiri ngerengere wanasoma akina nani?? nahofia tu usije ukawa ni ndugu yangu uliyekwenda kwenye hayo mafunzo mwaka juzi lolz!! hebu ni pm jina lako kwanza

ila best sijui umejuaje umepoint kweli manake lile bodi lake na komandoo ndo ataliweza ila hawa akina CHAI CHUNGU bure kabisaaaaaaaaaaaaaa.
 
Last edited by a moderator:
Yerewiiiiiiiii...........................
Nakata rufaa, unanionea kwa kuwa mimi ni domo zege.
Mi ndio nampenda Madame B tangu akiwa anasoma vidudu, iweje wewe uje hapa jamvini na kutangaza ndoa?
Nipepeeni jamani naona miguu imeishiwa nguvu, na mapigo ya moyo yamebadilika, moyo unadunda utosini kisha unadunda tena kwenye nyayo.
 
aiyayayayayayyayy!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
mambo iko huku babuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu, mwli snowhite na cacico pasi kumsahau mwaJ njooni sasa tuanze kuimba

'''' achia ngazi babu mchuma unaondoka huoooooooooooooooooo
'''''achia ngazi babuuu chuma unaondoka huoooooooooooooooooooooo


ulinitemaaa aseme niniiiiiiiiiii, iukanisemaaaaa sasa nakula vyanguuuuuuuuuuuuuu
naona mambo yako huko taarabu imo taarabu imo nana mambo yako huku weeeeeeeeeeeeeeee utaumiza roho yakooo enhhhhhhhhhhh!!

cc CHAI CHUNGU Madame B na Paloma
 
Last edited by a moderator:
Sasa Madame B ulikuwa unanisumbua sumbua sas huyo ndege tunduni!!zile habari zako nikupeleke kwa mganga wa mapenzi!ulikuwa umeisha nichosha kilasiku ila nilikuwa naona soo kukwambia maana kila ukiona kibao mganga wakienyeji kutoka sumbawangu,nigeri ulikuwa ukitaka kujua habari zake!!Sasa utapumzika kuwa Popo tuachie upopo mimi na Paloma, amu, Zion Daughter, Vin Diesel Kipaji Halisi, figganigga, gfsonwin>>>>BTW ntakumisi kwenye baa zetu za usiku mwingi Paloma ongeza uzito tutammiss sana maana komando akikustukia anakuvunja mbafu!!:rockon::rockon::rockon::rockon:
Kweli aisee..Atulie sasa kwa mjeda.Sie bado tupo tupo sana.
 
acheni kumzodoa mkaka wa watu, kwani mwafikiri ngerengere wanasoma akina nani?? nahofia tu usije ukawa ni ndugu yangu uliyekwenda kwenye hayo mafunzo mwaka juzi lolz!! hebu ni pm jina lako kwanza

ila best sijui umejuaje umepoint kweli manake lile bodi lake na komandoo ndo ataliweza ila hawa akina CHAI CHUNGU bure kabisaaaaaaaaaaaaaa.
lile body haki ya mungu bora limepata commando ,angefia mtu pale
 
Yaani wewe kwa kuwa ni komando basi unavamia wake za watu na kutaka wawe wake zake, angalia kijana. Ukomando wenyewe wa kichina.

Madam B njoo huku unatafutwa na Komando.
grand-mal kijana amejitahidi kutongoza, ona alivyotiririka huku machozi yakiwa yamemlengalenga.
Kama ni barua lazima angechora moyo na kamkuki kameutoboa huku damu zikiririka.
bleeding-heart-rose-sketch-jpg.jpg

Ona alivyojipanga... kijana muimbishaji huyu, yaani kama Dr. Love Pimbi vile
 
Sasa Madame B ulikuwa unanisumbua sumbua sas huyo ndege tunduni!!zile habari zako nikupeleke kwa mganga wa mapenzi!ulikuwa umeisha nichosha kilasiku ila nilikuwa naona soo kukwambia maana kila ukiona kibao mganga wakienyeji kutoka sumbawangu,nigeri ulikuwa ukitaka kujua habari zake!!Sasa utapumzika kuwa Popo tuachie upopo mimi na Paloma, amu, Zion Daughter, Vin Diesel Kipaji Halisi, figganigga, gfsonwin>>>>BTW ntakumisi kwenye baa zetu za usiku mwingi Paloma ongeza uzito tutammiss sana maana komando akikustukia anakuvunja mbafu!!:rockon::rockon::rockon::rockon:

Akienda jeshini atapigwa marukufu ya kuingia hadi jukwaani....hivi lile tangazo la kutafuta mchumba bado lipo valid? hatukupata mshendo nyumba.....
 
Last edited by a moderator:
[h=2]Je, Unafaa kuwa Mume? Ingia Hapa Kisha Jipimie.[/h]
Habari Wapenzi wa safu Hii ya Luv Connect.

Baada ya Kimya cha Muda mrefu hatimaye nami najitokeza humu kusaka Mume Wa Maisha,nikimpata poa,nisipompata poa vilevile.
Sifa zake:
1. Awe na umri wa kuanzia Miaka 32 hadi 37.
2. Awe ni Muajiriwa au Kajiajiri.
3. Awe na Malengo ya Maisha.
4. Sitaki avutaye sigara,kama anavuta basi kwa kiasi.
5. Dini yoyote japo Mkristo atapewa kipaumbele.
6. Asiwe na gubu au kisirani.
7. Anayejua kupenda.
8. Angalau awe na elimu ya Chuo.
9. Awe Msafi wa roho na nafsi.
10. Awe Mkweli.

Sifa Zangu:
1. Nimeajiriwa.
2. Ni Mkristo.
3. Nina 27 yrs.
4. Nina elimu ya Chuo
Mengine tutafahamishana.
PM tu ndo zitajibiwa.

Nyongeza:
P'se kama unapenda wanawake wembamba hutonifaa,
Mimi ni Mnene wa Wastani, Mwenye Umbo la Kike.
Pia nina mtoto mmoja.
Maana maswali yamezidi.

Last edited by Madame B; 28th January 2013 at 10:32.
KOMANDOO HIZI NI SIFA AMBAZO MADAM B ANATAKA NA WASIFA WAKE PIA
 
aiyayayayayayyayy!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
mambo iko huku babuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu, mwli snowhite na cacico pasi kumsahau mwaJ njooni sasa tuanze kuimba

'''' achia ngazi babu mchuma unaondoka huoooooooooooooooooo
'''''achia ngazi babuuu chuma unaondoka huoooooooooooooooooooooo


ulinitemaaa aseme niniiiiiiiiiii, iukanisemaaaaa sasa nakula vyanguuuuuuuuuuuuuu
naona mambo yako huko taarabu imo taarabu imo nana mambo yako huku weeeeeeeeeeeeeeee utaumiza roho yakooo enhhhhhhhhhhh!!

cc CHAI CHUNGU Madame B na Paloma

hahahahaha. Dada yangu wewe umepinda kweli
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom