Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Ha ha ha ha ha!
Hili jukwaa ni janga la kitaifa kwa 'UPANDE WANGU!
 
Last edited by a moderator:
Mambo si hayo! Ndio ninachokupendea boss wangu! Ukweli ukweli, uwazi uwazi. Kila la kheri!

Yapi ni kweli CEO mpya.
Ukweli ukiwa mkubwa,uwongo hujitenga.
Hahaha!
Nisalimieni kwenye Kundi letu,hasa katibu wangu.
 
hata akifulishwa ujue ni mapenzi tu.
Ngoja nifanye upeleleze ili nijue huyo mganga wake yuko wapi ili nikampandie dau!
Alafu nikirudi utaanzisha uzi wa kunipigia magoti mwenyewe bila shuruti!
 
Ngoja nifanye upeleleze ili nijue huyo mganga wake yuko wapi ili nikampandie dau!
Alafu nikirudi utaanzisha uzi wa kunipigia magoti mwenyewe bila shuruti!

Kwako wewe, Ndo basi tena.
Kwani hujapata mwingine?
We vp?
Kwani utotoni hukufungwa nepi?
 

mkuu kama upo serious kachunguze na PM kabisa!!!!!!!!!
 
Ngoja nifanye upeleleze ili nijue huyo mganga wake yuko wapi ili nikampandie dau!
Alafu nikirudi utaanzisha uzi wa kunipigia magoti mwenyewe bila shuruti!

kuachwa kuachwaaa, uachwa ni msibaa mzitoooooooooooooooooo hata Joseee MARA aliiimbaa jamaniiiiiiiiiiiiiiii
 
hahahahahahh! dunia ina watu wewe kiboko kisa kakuponyoka basi na wenzio wasimdake kweli jamaniiiiii.

Ndo hapo ninapomshangaa.
Alijua nitaumbuka hapa mjini!
Ah wapi!
Bado nalipa,unywele to ukucha.
Alie tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…