Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Ndo hapo ninapomshangaa.
Alijua nitaumbuka hapa mjini!
Ah wapi!
Bado nalipa,unywele to ukucha.
Alie tu.
mdogo wangu bado u mzuri kabisa na ulikopita bado ni ndani ya umri wako, na kwasasa umesha kuwa hivyo acha utoto utu uzima msalaba.
 
kuachwa kuachwaaa, uachwa ni msibaa mzitoooooooooooooooooo hata Joseee MARA aliiimbaa jamaniiiiiiiiiiiiiiii


Muelezee.
Hahaha!
Ganda la Muwa la jana...Chungu kaona kivuno.

Na pia Maji ya dafu,bahari kwa siafu.
 
Hata ungeenda Bagamoyo ndo naondoka hvo.
Wenzako wamenipendea comments hzo hzo.
Hivi ile ramani ya nyumba uliyoniletea ili nikipata pesa nikujengee nyumba yako bado unayo?
Nimeshapata pesa na hivi ninavyoandika hapa tayari kiwanja nimelipia tangu jana kule kawe beach,jirani yako kusini/mashariki atakua HALIMA MDEE na kaskazini magharibi atakua mh A.Makinda!
Sema basi kama hujapapenda nikutafutie kwingine.
 
Ndo hapo ninapomshangaa.
Alijua nitaumbuka hapa mjini!
Ah wapi!
Bado nalipa,unywele to ukucha.
Alie tu.
uumbuke na uumbaji huo? wa kuumbuka kina sie tumechokeana kama mchuzi wa mbilimbi!
madam b nipe hapo back benche nioshee mtaani nitoke jamani
 
mdogo wangu bado u mzuri kabisa na ulikopita bado ni ndani ya umri wako, na kwasasa umesha kuwa hivyo acha utoto utu uzima msalaba.

Asiniletee za kuleta.
Bado nalipa,nipitapo natazamwa.
Ye alikisema chanini, wenzake wanasema watakipata lini.
Mie mtoto wa Mjini,Matunzo muhimu.
 
Hivi ile ramani ya nyumba uliyoniletea ili nikipata pesa nikujengee nyumba yako bado unayo?
Nimeshapata pesa na hivi ninavyoandika hapa tayari kiwanja nimelipia tangu jana kule kawe beach,jirani yako kusini/mashariki atakua HALIMA MDEE na kaskazini magharibi atakua mh A.Makinda!
Sema basi kama hujapapenda nikutafutie kwingine.
hivi ulishindwa kuona mchana jua linaangaza utaweza kuona usiku mbalamwez ikiangaza??
 
Hivi ile ramani ya nyumba uliyoniletea ili nikipata pesa nikujengee nyumba yako bado unayo?
Nimeshapata pesa na hivi ninavyoandika hapa tayari kiwanja nimelipia tangu jana kule kawe beach,jirani yako kusini/mashariki atakua HALIMA MDEE na kaskazini magharibi atakua mh A.Makinda!
Sema basi kama hujapapenda nikutafutie kwingine.
mimi ninatafuta police wa barabarani huna class mate?
 
Hivi ile ramani ya nyumba uliyoniletea ili nikipata pesa nikujengee nyumba yako bado unayo?
Nimeshapata pesa na hivi ninavyoandika hapa tayari kiwanja nimelipia tangu jana kule kawe beach,jirani yako kusini/mashariki atakua HALIMA MDEE na kaskazini magharibi atakua mh A.Makinda!
Sema basi kama hujapapenda nikutafutie kwingine.

Usijibaraguze mwanaume.
 
uumbuke na uumbaji huo? wa kuumbuka kina sie tumechokeana kama mchuzi wa mbilimbi!
madam b nipe hapo back benche nioshee mtaani nitoke jamani

Ah,
Staki bhana.
Uoshe mara ngapi?
Mungu ana makusudi yake,
Pia mchagua jembe...
 
Back
Top Bottom