Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Tulizo njoo utoe yaliyoko moyoni maana nakumbuka ulisema Madame B unamzimia sasa ulikaa nalo moyoni wenziyo wametamka utaisoma namba!!
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha!nakuja ki digital bhana!
Wakushindwa ntakua mie bhana?

aaaah! wapppyyyyyyyyyyy
mtu mwenyewe una mbwelambwela kama umekutana na manyigu mlangoni..............ndo useme hushindwi.
 
Hapa leo kuna mtu atapata vidonda vya tumbo!
 
hizo comment hata mimi mwenyewe asakuta same unajua huwa zinanikosha Madame B ,,,,,,,, mtu asitake kukubania bania furaha zako na kukutoa kwenye tabia yako ya ucheshi

Ndo hapo pakushangaa sasa.
Kuna watu hawalali mpaka waone Comments zangu,lakini wengine....patupu.
 
Last edited by a moderator:
aaaah! wapppyyyyyyyyyyy
mtu mwenyewe una mbwelambwela kama umekutana na manyigu mlangoni..............ndo useme hushindwi.
Hivi yule mdogo wako cheupe kama mpemba,shepu kama 'dondola'si yupo au?
 
Hapa leo kuna mtu atapata vidonda vya tumbo!
weraaaaaaaaaaaa weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa watu tunataka kula pilau la harusi sasa tunachopoteza muda kitu gani??

kashindwa CHAI CHUNGU mjeda kaingia na huyu nae akileta za kuleta mwingine ataingia kwan nini bana kuzeeshana watu mkiwa watt??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom