Nampenda mke wa mtu ila nami nina mke na watoto!

Pia inabibidi ujiulize kama Uyo mwanamke ameweza kumcheat mumewe akiwa kwenye ndoa Na Yuko tayari kumuacha mumewe Kisa mchepuko....unafkiri Ni mwanamke mwema? Unafkiri ukilmuoa atashindwa kukufanyia ivo
 
Shia hawawez kuudhalilisha uislamu kwa kuwatukana, kubeza na kudharau maswahaba. Pia hawawez kumtukana mke wa kipenzi chetu eti kahaba. Lazima pachimbike maamaee
Hii nje ya mada
 
Nasikia harufu ya mauwaji ya wanandoa, Mwambie tu huyo mwanamke akimwacha mumewe hatosababisha mauwaji!
Siyo kila mwanaume akiachwa na mke wake anapotezea wengine wanalipiza mkose wote akakae jela!
 
@ ya own risk mkuu. Usipodakwa ni poa, ila ukidakwa na mwenye mke awe mafia kama unapigwa bomba. Yani wanakula kinyeo huku wanachukua picha. 😁
 
kila utokapo paka mafuta kabisa kwa nyoro maana kisogo hicho kina hamu ya kupumliwa
 
 
Unatuletea machokolaa mtaani wa 4. Kisa nyege zako BABA Yao.








KAZI ni kipimo cha UTU
 
Maandiko marefu kumbe ujinga tu , Sasa kama hujafanya nae mapenzi una mahusiano Gani ya kimapenzi na mke wa mtu , jinga sana ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…