Nampenda mpendaaa!

Mhmh hzo n nomaah n mm ngj niimbe nyoo nyoo nyoo nyoooo nyoooo nyoooo nyooooo nyooo nyoooo kidaw wng nyoooo nyoooo nyoooo n ku**** nyoooo nyoooo
Kwahiyo ulikua unamshika nyonyoo kidawa wako?? Dah
Utoto raha sana
 


🙂🙂🙂😛😛😛 Safi sana sweet mahondaw ... Jana night you were so down... nimekubembeleza sana utulie, look at you now.. very happy with a good mood... safi sana.. i love seen you happy...

Ngoja tuimbe wote...

mahondaw panda mlimaaa...

siweziii bhanaaa...

kwa nini hauweziii...

Naumwaaa tumboo...

Tumbo kakupa naniii...

Kanipaa Smart911 ...


========
Vibata vidogo vidogo vinaogeleaaa... vinaogeleaa...
Katika shamba zuri la bustaniii...
Vinapenda kulia kwa'kwa'kwa'kwa'kwa'kwaaa
Vinapenda kutembea, bila vaituuu...


Mengine utamaliza... mahondaw
 

Waohhhhhhh thanks sana my lovely sweetdarlingto Smart911
Heeheheee miye teinaaaaaaaaaaaa kwa nyimbo za utotoni hapa ndo pake hapa ngoja nikujibu wimbo wa hiki kitumbo ulonibebesha

Naanza na
Byshoo I love you baby
Huu ushaimbwa sana Leo humu
Ngoja nimuimbie bebitumboni huu hapa

Mwanangu kua
Kua nikutume
Unitume wapi kwa mfalme
Kuna ng'ombe zetu kumi na mbili
Mmoja kaja...... ..............
Utoto raha sana

 
Hiyo ya mwanangu kua nikutume.. Huko mbele sijui ni kilugha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…