Nampenda mpendaaa!

Nampenda mpendaaa!

Mhmh hzo n nomaah n mm ngj niimbe nyoo nyoo nyoo nyoooo nyoooo nyoooo nyooooo nyooo nyoooo kidaw wng nyoooo nyoooo nyoooo n ku**** nyoooo nyoooo
Kwahiyo ulikua unamshika nyonyoo kidawa wako?? Dah
Utoto raha sana
 
Nampenda mpendaaa
Naanii
Kijana mmoja
Naani
Mzungu kidogo
Naani
Tajiri kidogoo
Bosi kidogo
Naani
Mweusi Kidogo
Naani
Mrefu kidogo
Naani
Mpole kidogo
Naani
Ana mwili mzuri
Naani
Magari mazuri
Naani
Mijumba mizuri
Naani
Na roho nzuri
Naani
Na moyo mzuri
Naani

Au si wa hapa si wa hapa dii dii dii
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Au kama hamtaki mniambie dii dii diii
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Nikae chini nilie dii dii diiii
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wala Sitatafuta mwingine dii dii ndii
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Ninani huyooo
(....................................................)

Nitajieni nimkimbizeeeeeee

Hahaha utoto raha sana
Nawewe Imba nyimbo yoyote ya utotoni

#Chitchatforevermore#


🙂🙂🙂😛😛😛 Safi sana sweet mahondaw ... Jana night you were so down... nimekubembeleza sana utulie, look at you now.. very happy with a good mood... safi sana.. i love seen you happy...

Ngoja tuimbe wote...

mahondaw panda mlimaaa...

siweziii bhanaaa...

kwa nini hauweziii...

Naumwaaa tumboo...

Tumbo kakupa naniii...

Kanipaa Smart911 ...


========
Vibata vidogo vidogo vinaogeleaaa... vinaogeleaa...
Katika shamba zuri la bustaniii...
Vinapenda kulia kwa'kwa'kwa'kwa'kwa'kwaaa
Vinapenda kutembea, bila vaituuu...


Mengine utamaliza... mahondaw
 
🙂🙂🙂😛😛😛 Safi sana sweet mahondaw ... Jana night you were so down... nimekubembeleza sana utulie, look at you now.. very happy with a good mood... safi sana.. i love seen you happy...

Ngoja tuimbe wote...

mahondaw panda mlimaaa...

siweziii bhanaaa...

kwa nini hauweziii...

Naumwaaa tumboo...

Tumbo kakupa naniii...

Kanipaa Smart911 ...


========
Vibata vidogo vidogo vinaogeleaaa... vinaogeleaa...
Katika shamba zuri la bustaniii...
Vinapenda kulia kwa'kwa'kwa'kwa'kwa'kwaaa
Vinapenda kutembea, bila vaituuu...


Mengine utamaliza... mahondaw

Waohhhhhhh thanks sana my lovely sweetdarlingto Smart911
Heeheheee miye teinaaaaaaaaaaaa kwa nyimbo za utotoni hapa ndo pake hapa ngoja nikujibu wimbo wa hiki kitumbo ulonibebesha

Naanza na
Byshoo I love you baby
Huu ushaimbwa sana Leo humu
Ngoja nimuimbie bebitumboni huu hapa

Mwanangu kua
Kua nikutume
Unitume wapi kwa mfalme
Kuna ng'ombe zetu kumi na mbili
Mmoja kaja...... ..............
Utoto raha sana

 
Waohhhhhhh thanks sana my lovely sweetdarlingto Smart911
Heeheheee miye teinaaaaaaaaaaaa kwa nyimbo za utotoni hapa ndo pake hapa ngoja nikujibu wimbo wa hiki kitumbo ulonibebesha

Naanza na
Byshoo I love you baby
Huu ushaimbwa sana Leo humu
Ngoja nimuimbie bebitumboni huu hapa

Mwanangu kua
Kua nikutume
Unitume wapi kwa mfalme
Kuna ng'ombe zetu kumi na mbili
Mmoja kaja...... ..............
Utoto raha sana

Hiyo ya mwanangu kua nikutume.. Huko mbele sijui ni kilugha...
 
Back
Top Bottom