Nampenda mwanaume anaevaa miwani

Nampenda mwanaume anaevaa miwani

usicheke...
[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
stock-photo-black-african-man-posing-wearing-glasses-with-copy-space-457465762.jpg


e72a3df06d89eb0a6f23ffc1735e9136.jpg
[emoji8][emoji8][emoji8]

keep calm, its my birthday
 
Habari za leo wanajf........hope mko vizuri siku ya leo
hahaha mwenzenu nikiona mwanaume amevaa miwani hasa ile meupe ya wagonjwa macho nachanganyikiwa natamani anifate.....sio siri inawapendeza wanavutia tunabaki kuumia tuu rohoni.....
Ruhusa kunichamba lkn nshasema ukweli wangu
Wewe ulitakiwa kuwa muuguzi, una upendo sana kwa wagonjwa.

Vv
 
Baada ya wanaume kuonyeha hawana mkwanja, wanawake wameamua kubadilisha gear na kujifariji kwa mambo mengine.. Wanawake bhana, ni viumbe wa ajabu sana!
 
Habari za leo wanajf........hope mko vizuri siku ya leo
hahaha mwenzenu nikiona mwanaume amevaa miwani hasa ile meupe ya wagonjwa macho nachanganyikiwa natamani anifate.....sio siri inawapendeza wanavutia tunabaki kuumia tuu rohoni.....
Ruhusa kunichamba lkn nshasema ukweli wangu
Duh sasa akifika kitandani na kuivua hiyo miwani huoni kama atapoteza huo mvuto?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom