Nampenda Rais Samia Suluhu Hassan

Nampenda Rais Samia Suluhu Hassan

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Heri ya mwaka mpya wana JF

Kwanza naomba nikiri mimi siyo chawa na siamini kwenye uchawa. Pili mapenzi yangu kwa huyu mama si ya kimahaba au kingono, bali navutiwa na jinsi alivyo nyanyuliwa na utendaji wake.

Sababu zangu:

Kwanza, huyu mama ni chaguo la Mungu. Hakuwahi utaka uraisi, bali uraisi umemtaka yeye.

Kuna wale maviongozi waliopata uongozi kiudhalimu, kuiba kura, kutesa na kukandamiza wenzao alafu wanakuja bila haya kutuambia wao ni chaguo la Mungu.

Huyu mama, haikua hivyo, yaani ameupata uraisi kwa mapenzi ya Mungu ki ukweli

Wapo wale wapiga mapambio wa tawala zilizopita na zitakazokuja wajifunze kutoka kwenye maandiko: Bwana asipoijenga nyumba, waijengao wanafanya kazi bure. Tazama: Zaburi ya 127

Pili, huyu mama ni mtenda haki, na kwa kitendo hicho atashibishwa.

Huyu mama katika kipindi kifupi cha utawala wake amefanya matendo makuu ya haki, amewagusa walioonewa, amewatoa magerezani wafungwa wa mchongo, amesambaratisha wadhalimu na magenge yao (Sukuma Gang), amerudisha matumaini yaliyopotea (mikutano ya hadhara) na sasa anajenga umoja wa kitaifa uliobomolewa kupitia Katiba Mpya.

Bwana wetu Yesu Kristu anasema heri wapatanishi, maana wao wataitwa wana wa Mungu, heri wenye njaa na kiu ya haki, maana wao watashibishwa. Tazama: Injili ya Mtakatifu Mathayo 5:6-10

Tatu, Mungu hujiinua kupitia udhaifu wetu, hivyo ukuu wa Mungu na upako wake unadhihirika

Tangu kale Mungu amefanya kazi na watu dhaifu au waliodharaulika, angalia background za manabii kama Musa na Daudi, pia na bwana wetu Yesu Kristu. Ni katika udhaifu, ukuu wa Mungu hujidhihirisha. Mungu ametaka tuwe na Rais mwanamke, katika mfumo dume wa leo, isigekua rahisi, kama si kwa mapenzi ya Mungu huyu mama kuupata urais.

Kama Mungu amempenda mama Samia Suluhu Hassani mimi ni nani wa kubisha?

Mungu anawapenda maraisi wote wa Tanzania, ila amewapenda zaidi J.K. Nyerere, Benjamin Mkapa na John Magufuli, tuendelee kuwaombea waendelee kupumzika kwa amani

Nawatakia Jumapili njema.
 
Heri ya mwaka mpya wana JF

Kwanza naomba nikiri mimi siyo chawa na siamini kwenye uchawa. Pili mapenzi yangu kwa huyu mama si ya kimahaba au kingono, bali navutiwa na jinsi alivyo nyanyuliwa na utendaji wake.

Sababu zangu:

Kwanza, huyu mama ni chaguo la Mungu. Hakuwahi utaka uraisi, bali uraisi umemtaka yeye.

Wapo wale wapiga mapambio wa tawala zilizopita na zitakazokuja wajifunze kutoka kwenye maandiko: Bwana asipoijenga nyumba, waijengao wanafanya kazi bure. Tazama: Zaburi ya 127

Pili, huyu mama ni mtenda haki, na kwa kitendo hicho atashibishwa.

Huyu mama katika kipindi kifupi cha utawala wake amefanya matendo makuu ya haki, amewagusa walioonewa, amewatoa magerezani wafungwa wa mchongo, amesambaratisha wadhalimu na magenge yao (Sukuma Gang), amerudisha matumaini yaliyopotea (mikutano ya hadhara) na sasa anajenga umoja wa kitaifa uliobomolewa kupitia Katiba Mpya.

Bwana wetu Yesu Kristu anasema heri wapatanishi, maana wao wataitwa wana wa Mungu, heri wenye njaa na kiu ya haki, maana wao watashibishwa. Tazama: Injili ya Mtakatifu Mathayo 5:6-10

Tatu, Mungu hujiinua kupitia udhaifu wetu, hivyo ukuu wa Mungu na upako wake unadhihirika

Tangu kale Mungu amefanya kazi na watu dhaifu au waliodharaulika, angalia background za manabii kama Musa na Daudi, pia na bwana wetu Yesu Kristu. Ni katika udhaifu, ukuu wa Mungu hujidhihirisha. Mungu ametaka tuwe na raisi mwanamke, katika mfumo dume wa leo, isigekua rahisi, kama si kwa mapenzi ya Mungu huyu mama kuupata uraisi.

Kama Mungu amempenda mama Samia Suluhu Hassani mimi ni nani wa kubisha?

Mungu anawapenda maraisi wote wa Tanzania, ila amewapenda zaidi Benjamin Mkapa na John Magufuli, tuendelee kuwaombea waendelee kupumzika kwa amani

Nawatakia jumapili njema..
Well said and critical analysis
 
Heri ya mwaka mpya wana JF

Kwanza naomba nikiri mimi siyo chawa na siamini kwenye uchawa. Pili mapenzi yangu kwa huyu mama si ya kimahaba au kingono, bali navutiwa na jinsi alivyo nyanyuliwa na utendaji wake.

Sababu zangu:

Kwanza, huyu mama ni chaguo la Mungu. Hakuwahi utaka uraisi, bali uraisi umemtaka yeye.
Kuna wale maviongozi waliopata uongozi kiudhalimu, kuiba kura, kutesa na kukandamiza wenzao alafu wanakuja bila haya kutuambia wao ni chaguo la Mungu.

Huyu mama, haikua hivyo, yaani ameupata uraisi kwa mapenzi ya Mungu ki ukweli

Wapo wale wapiga mapambio wa tawala zilizopita na zitakazokuja wajifunze kutoka kwenye maandiko: Bwana asipoijenga nyumba, waijengao wanafanya kazi bure. Tazama: Zaburi ya 127

Pili, huyu mama ni mtenda haki, na kwa kitendo hicho atashibishwa.

Huyu mama katika kipindi kifupi cha utawala wake amefanya matendo makuu ya haki, amewagusa walioonewa, amewatoa magerezani wafungwa wa mchongo, amesambaratisha wadhalimu na magenge yao (Sukuma Gang), amerudisha matumaini yaliyopotea (mikutano ya hadhara) na sasa anajenga umoja wa kitaifa uliobomolewa kupitia Katiba Mpya.

Bwana wetu Yesu Kristu anasema heri wapatanishi, maana wao wataitwa wana wa Mungu, heri wenye njaa na kiu ya haki, maana wao watashibishwa. Tazama: Injili ya Mtakatifu Mathayo 5:6-10

Tatu, Mungu hujiinua kupitia udhaifu wetu, hivyo ukuu wa Mungu na upako wake unadhihirika

Tangu kale Mungu amefanya kazi na watu dhaifu au waliodharaulika, angalia background za manabii kama Musa na Daudi, pia na bwana wetu Yesu Kristu. Ni katika udhaifu, ukuu wa Mungu hujidhihirisha. Mungu ametaka tuwe na raisi mwanamke, katika mfumo dume wa leo, isigekua rahisi, kama si kwa mapenzi ya Mungu huyu mama kuupata uraisi.

Kama Mungu amempenda mama Samia Suluhu Hassani mimi ni nani wa kubisha?

Mungu anawapenda maraisi wote wa Tanzania, ila amewapenda zaidi Benjamin Mkapa na John Magufuli, tuendelee kuwaombea waendelee kupumzika kwa amani

Nawatakia jumapili njema..
Good positivity, umeanza siku vema hongera zake Ndugu Rais Hassan kwa zawadi ya utumishi toka kwa Mungu
 
Heri ya mwaka mpya wana JF

Kwanza naomba nikiri mimi siyo chawa na siamini kwenye uchawa. Pili mapenzi yangu kwa huyu mama si ya kimahaba au kingono, bali navutiwa na jinsi alivyo nyanyuliwa na utendaji wake.

Sababu zangu:

Kwanza, huyu mama ni chaguo la Mungu. Hakuwahi utaka uraisi, bali uraisi umemtaka yeye.

Kuna wale maviongozi waliopata uongozi kiudhalimu, kuiba kura, kutesa na kukandamiza wenzao alafu wanakuja bila haya kutuambia wao ni chaguo la Mungu.

Huyu mama, haikua hivyo, yaani ameupata uraisi kwa mapenzi ya Mungu ki ukweli

Wapo wale wapiga mapambio wa tawala zilizopita na zitakazokuja wajifunze kutoka kwenye maandiko: Bwana asipoijenga nyumba, waijengao wanafanya kazi bure. Tazama: Zaburi ya 127

Pili, huyu mama ni mtenda haki, na kwa kitendo hicho atashibishwa.

Huyu mama katika kipindi kifupi cha utawala wake amefanya matendo makuu ya haki, amewagusa walioonewa, amewatoa magerezani wafungwa wa mchongo, amesambaratisha wadhalimu na magenge yao (Sukuma Gang), amerudisha matumaini yaliyopotea (mikutano ya hadhara) na sasa anajenga umoja wa kitaifa uliobomolewa kupitia Katiba Mpya.

Bwana wetu Yesu Kristu anasema heri wapatanishi, maana wao wataitwa wana wa Mungu, heri wenye njaa na kiu ya haki, maana wao watashibishwa. Tazama: Injili ya Mtakatifu Mathayo 5:6-10

Tatu, Mungu hujiinua kupitia udhaifu wetu, hivyo ukuu wa Mungu na upako wake unadhihirika

Tangu kale Mungu amefanya kazi na watu dhaifu au waliodharaulika, angalia background za manabii kama Musa na Daudi, pia na bwana wetu Yesu Kristu. Ni katika udhaifu, ukuu wa Mungu hujidhihirisha. Mungu ametaka tuwe na Rais mwanamke, katika mfumo dume wa leo, isigekua rahisi, kama si kwa mapenzi ya Mungu huyu mama kuupata urais.

Kama Mungu amempenda mama Samia Suluhu Hassani mimi ni nani wa kubisha?

Mungu anawapenda maraisi wote wa Tanzania, ila amewapenda zaidi J.K. Nyerere, Benjamin Mkapa na John Magufuli, tuendelee kuwaombea waendelee kupumzika kwa amani

Nawatakia Jumapili njema.
Naona Michongo yako imekunyookea kwenye utawala Mama Samia!? Kutesa kwa zamu!!
 
Mimi naona kufikia 2028, kama atakuwa amefanikiwa kupita 2025 atakuwa ameshadhihirisha kwa nini yeye ni chaguo la Mungu. Huyu Raisi anakila aina ya sifa yaan kiutawala bora, huruma ila mkali ukimzingua, kihuduma za jamii ingawa tanesco ndio inazingua. All in all, atakumbukwa kwa vizazi na vizazi
 
Heri ya mwaka mpya wana JF

Kwanza naomba nikiri mimi siyo chawa na siamini kwenye uchawa. Pili mapenzi yangu kwa huyu mama si ya kimahaba au kingono, bali navutiwa na jinsi alivyo nyanyuliwa na utendaji wake.

Sababu zangu:

Kwanza, huyu mama ni chaguo la Mungu. Hakuwahi utaka uraisi, bali uraisi umemtaka yeye.

Kuna wale maviongozi waliopata uongozi kiudhalimu, kuiba kura, kutesa na kukandamiza wenzao alafu wanakuja bila haya kutuambia wao ni chaguo la Mungu.

Huyu mama, haikua hivyo, yaani ameupata uraisi kwa mapenzi ya Mungu ki ukweli

Wapo wale wapiga mapambio wa tawala zilizopita na zitakazokuja wajifunze kutoka kwenye maandiko: Bwana asipoijenga nyumba, waijengao wanafanya kazi bure. Tazama: Zaburi ya 127

Pili, huyu mama ni mtenda haki, na kwa kitendo hicho atashibishwa.

Huyu mama katika kipindi kifupi cha utawala wake amefanya matendo makuu ya haki, amewagusa walioonewa, amewatoa magerezani wafungwa wa mchongo, amesambaratisha wadhalimu na magenge yao (Sukuma Gang), amerudisha matumaini yaliyopotea (mikutano ya hadhara) na sasa anajenga umoja wa kitaifa uliobomolewa kupitia Katiba Mpya.

Bwana wetu Yesu Kristu anasema heri wapatanishi, maana wao wataitwa wana wa Mungu, heri wenye njaa na kiu ya haki, maana wao watashibishwa. Tazama: Injili ya Mtakatifu Mathayo 5:6-10

Tatu, Mungu hujiinua kupitia udhaifu wetu, hivyo ukuu wa Mungu na upako wake unadhihirika

Tangu kale Mungu amefanya kazi na watu dhaifu au waliodharaulika, angalia background za manabii kama Musa na Daudi, pia na bwana wetu Yesu Kristu. Ni katika udhaifu, ukuu wa Mungu hujidhihirisha. Mungu ametaka tuwe na Rais mwanamke, katika mfumo dume wa leo, isigekua rahisi, kama si kwa mapenzi ya Mungu huyu mama kuupata urais.

Kama Mungu amempenda mama Samia Suluhu Hassani mimi ni nani wa kubisha?

Mungu anawapenda maraisi wote wa Tanzania, ila amewapenda zaidi J.K. Nyerere, Benjamin Mkapa na John Magufuli, tuendelee kuwaombea waendelee kupumzika kwa amani

Nawatakia Jumapili njema.
Asante mtumishi wa Mungu kwa Uzi bora kabisa wa kuanzia Mwaka 2023
 
Mi naona kufikia 2028,kama atakuwa amefanikiwa kupita 2025 atakuwa ameshadhihirisha kwa nini yeye ni chaguo la Mungu. Huyu Raisi anakila aina ya sifa yaan kiutawala bora,huruma ila mkali ukimzingua, kihuduma za jamii ingawa tanesco ndio inazingua. All in all, atakumbukwa kwa vizazi na vizazi
Yuko kwenye right track
 
Mwamba mi nipo humu siku nyingi ,nadhani we ni mjukuu wangu,nimekuhuliza swali ,we Ni mnzazibari?
Mkuu sisi waTanzania, hatujafikia huko, kutambuana kwa maeneo tutokayo au makabila yetu, itoshe kukuambia mimi natokea Tanzania
 
Heri ya mwaka mpya wana JF

Kwanza naomba nikiri mimi siyo chawa na siamini kwenye uchawa. Pili mapenzi yangu kwa huyu mama si ya kimahaba au kingono, bali navutiwa na jinsi alivyo nyanyuliwa na utendaji wake.

Sababu zangu:

Kwanza, huyu mama ni chaguo la Mungu. Hakuwahi utaka uraisi, bali uraisi umemtaka yeye.

Kuna wale maviongozi waliopata uongozi kiudhalimu, kuiba kura, kutesa na kukandamiza wenzao alafu wanakuja bila haya kutuambia wao ni chaguo la Mungu.

Huyu mama, haikua hivyo, yaani ameupata uraisi kwa mapenzi ya Mungu ki ukweli

Wapo wale wapiga mapambio wa tawala zilizopita na zitakazokuja wajifunze kutoka kwenye maandiko: Bwana asipoijenga nyumba, waijengao wanafanya kazi bure. Tazama: Zaburi ya 127

Pili, huyu mama ni mtenda haki, na kwa kitendo hicho atashibishwa.

Huyu mama katika kipindi kifupi cha utawala wake amefanya matendo makuu ya haki, amewagusa walioonewa, amewatoa magerezani wafungwa wa mchongo, amesambaratisha wadhalimu na magenge yao (Sukuma Gang), amerudisha matumaini yaliyopotea (mikutano ya hadhara) na sasa anajenga umoja wa kitaifa uliobomolewa kupitia Katiba Mpya.

Bwana wetu Yesu Kristu anasema heri wapatanishi, maana wao wataitwa wana wa Mungu, heri wenye njaa na kiu ya haki, maana wao watashibishwa. Tazama: Injili ya Mtakatifu Mathayo 5:6-10

Tatu, Mungu hujiinua kupitia udhaifu wetu, hivyo ukuu wa Mungu na upako wake unadhihirika

Tangu kale Mungu amefanya kazi na watu dhaifu au waliodharaulika, angalia background za manabii kama Musa na Daudi, pia na bwana wetu Yesu Kristu. Ni katika udhaifu, ukuu wa Mungu hujidhihirisha. Mungu ametaka tuwe na Rais mwanamke, katika mfumo dume wa leo, isigekua rahisi, kama si kwa mapenzi ya Mungu huyu mama kuupata urais.

Kama Mungu amempenda mama Samia Suluhu Hassani mimi ni nani wa kubisha?

Mungu anawapenda maraisi wote wa Tanzania, ila amewapenda zaidi J.K. Nyerere, Benjamin Mkapa na John Magufuli, tuendelee kuwaombea waendelee kupumzika kwa amani

Nawatakia Jumapili njema.
Tunampenda mama yetu
 
Rais Samia, azidi kuwatafutia haki walionewa, azidi kulinda uhuru wa watu, na kuheshimu uongozi shirikishi. Ni kwa njia ya demokrasia, wananchi wanashiriki kuongoza nchi yao. Wote ni wanadamu, hata kama utakuwa na cheo gani. Uongozi na madaraka havibadilishi ubinadamu wako. Hili inaonekana Rais analiishi. Tunataka atembee kwenye sheria lakini asipungukiwe na hekima maana hata kusimamia sheria, kunahitaji hekima na busara.

Mambo positive aliyoyafanya Rais Samia, kama utayapinga ni kwa sababu tu umeamua upinge, lakini ni dhahiri.

Kwa mwanadamu yeyote, hata ufanye nini, kama hutatenda haki, hutaheshimu uhai wa watu, wewe hufai kwa chochote. Unajenga madaraja (ni jambo jema), unajenga reli (ni jambo hema), unajenga barabara (ni jambo jema) LAKINI unaua, unateka watu, unawapoteza. Sasa hiyo miundombinu unayojenga, kama unawamaliza watu wako, unataka itumiwe na nani, na mizimu? Barabara unazojenga badala ya kutumika na watu kwaajili ya shughuli zao za kawaida wanaozifanya kwa uhuru, zitageuka kuwa za kutoroka kuogopa dhuluma au kudhuriwa.

Ndugu zangu hakuna kiongozi atakayekuwa mzuri, hata akafanya ninj, kama haheshimu uhai na haki za binadamu wenzake. Ndiyo maana kwa mtu yeyote mwenye akili timamu na ana Roho wa Mungu, hata kama anaishi kwenye kijumba cha matope, akiulizwa achague moja, aendelee kuishi kwenye kajumba hako lakini wanafamilia wake wabakie hai au ajengewe ghorofa lakini wanafamilia wake wasiishi, atachagua kuendelea kuishi kwenye kajumba kake ka tope.

Tunajua kuwa Rais wetu ni Mwenyekiti wa CCM, lakini utendaji wake wakati wote uliangalie Taifa na siyo CCM. CCM ni njia iliyomfikisha mahali alipo. Tunajua kuna watu watapenda aonekane kuwa ni Rais wa CCM, watataka CCM iwe juu ya Taifa, jambo ambalo siyo sahihi. Na hili anaonekana kulitambua sana, ndiyo maana ya maridhiano yanayofanywa.

Jambo la muhimu, viongozi wa vyama vya siasa, wamsaidie Rais katika adhima yake ya kuhakikisha anakuwa kiongozi wa Taifa, na siyo kiongozi wa CCM au adui wa vyama vingine vya siasa. Wasiwe kikwazo kwake bali wawe wawezeshaji.
 
Back
Top Bottom