Wengine wanapima upepo... Wananzisha thread ili kutafuta kiki... Kama hivi tayari mshamjua na yeye anajiona anajulikana JF...ila mkuu punguza jazba.. mi naamini mtoa mada hakuwa serious kiasi hicho alikuwa kwenye jokes... naomba mmalize tofauti zenu.. ni changamoto tu kwenye maisha.. sufuria tu zinagongana itakuwa binadamu.. ombaneni msamaha..!!!!
Yashakwisha muda tu... Tupo poa sana... Vitu vidogo sana.. Ni member tu anatafuta attention....Yataisha tuu shemeji mdogo....
Relax.....katika mahusiano kuna ups and downs.
You need to understand. Na namna ya Ku go through them.
Hahahaaa!! Hebu muache mate wangu huko.Polee mpenzi, lakini umenichekesha eti upo na mi nini...lol
Hahahaaa!! Hebu muache mate wangu huko.
Nilikwazika but nipo poa.. Tupo poa.. Maisha yanaendelea like nothing has happen..Siamini kama Smart wako atakwazika na huu upuuzi ulioanzishwa na huyu mleta mada.
Kama amekwazika nambie niongee naye, ntampunguzia mahari then mambo yatanyooka.
Zipo nyuzi nyingi tu kama za mleta uzi huu.Labda tatizo mleta uzi hakujua anayemletea uzi kashamilikiwa alijua akapuuzia!!Au kuna agenda ambayo mimi na wewe hatuifahamu yakhee
It is serious and alhamisi she will be different lady...hivi kumbe ni serious??mahondaw
Woow hatimae Alhamis unamvisha pete mohondaw... Itabidi nije kupiga makofi jamani lolKuna members wana akili za ajabu sana... Wanachotafuta ni sifa na attention. Kwa nini mnapenda kuharibu mahusiano ya watu... mahondaw yumo JF muda mrefu sana hakuna aliyemtamani... Leo hii yupo na Smart911 unakuja na thread yako ya kibwege na ya kitoto kama hii...
Smart911 na mahondaw kamwe hatutakuja kuachana... Na aliyekutuma mwambie huu ni mchezo wa kitoto sana... Who ever you are kama ni mwanamke au mwanaume utajijua na jinsia yako mwenyewe...
Kwa nini unataka kuharibu furaha yangu na mahondaw... Unajua mahondaw unajua alhamisi anatukio gani muhimu.. Alfu mpuzi kama wewe from no where unakuja kuleta ujinga...
Mimi sipendagi malumbano lakini kwa thread kama hii ya kichoko... Na kama mwanamke alikukataa kuna haja gani ya kuingia na ID tofauti na kumuharibia... Nilichukia sana... Na nusu nimuharibu mahondaw... Lakini nimesema kwa nini wakati nampenda sana...
Jinga moja ambalo linaleta thread ya kumuudhi mahondaw ili nalo lionekane linajua kubandika thread kumbe anabunguliwa tu... Leave mahondaw alone... She will never be wa mtu yoyote zaidi ya wa Smart911
Kama kweli unamjua mahondaw njoo alhamisi uone navyomvisha pete ya uchumba alafu ujitokeze na kusema huu utumbo uliyopost hapa...
Sidhani kama nina plan zozote za kumuacha mahondaw... mahondaw ni wa Smart911... Smart911 ni wa mahondaw...
@mahondow love.. Sorry kwa kusema surprise iliyopo alhamisi for you...
Huyu bwege sijui anatafuta bwana
mahondaw mpenzi wangu... Don't worry with anything kweli nimechukia sana... Lakini jua kwamba nakupenda sana... Hata zianzishwe thread 1000 the truth remains you are becoming my wife...
Huyu member atakuwa ametumwa... Ila ameshindwa...
Hahaha!, acha espy, kanitia huruma jamani na hili tumbwili lakini hapa nimeshindwa kujizuia kucheka...lol
Acha kudandia treni kwa mbele... Unajichoresha tu hapa... Attention haitafutwi kwa kuingilia mapenzi ya watu... Usije ukasema sijakuonya...mbona mkali hivyo jamani? Simba ni mkali lakini ana watoto, tulia tuyajenge mama.
Tatizo siyo kupendwa... Tatizo ni tabia mbaya za watu wanaojifanya wanajua sana kwenye mapenzi ya watu... Unajua kabisa mahondaw ni wa fulani alafu unajifablnya mjujaji kwenye mapenzi ya mtu...Asante for Appreciation.
Ila sasa kwa ni smart anataka msichana mzuri kama wewe usipendwe na wanaume wengine?
Ndio anatakiwa afurahi kwanza kwa sababu wewe ni mzuri lazim watu wakutongoze lazima wakutamani.
Japo mm skitamani wala skutongozi mm nilikuwa naleta tu daily drama za JF sikujua kama nje ya JF mmependana.
Na najuta ningejua singeleta ile mizaha.
Huyo smart mueleweshe tu ataelewaz
Kama haelewi piga chini kuja huku
Yes i cancel the date and the outing... And the reservation i made nimesamehe tu hiyo pesa... I wanted to take you to a Spanish restaurant to try everything new... But i canceled coz i was pissed of...Sanaaaaa yani na washavuruga huku smart hanielewiiii
Unajua pale smart amepanga kunipeleka leo?? Ndobasi tena yani mpaka kuyaweka sawa sijui yani
Siyo kirahisi rahisi hivyo... Unless labda iwe na wengi...ila jaman mfano mimi ndo ingekuwa mpenzi wangu anafanyiwa hv.. mbona ni rahisi kuelewa... as long as namwamini mtu wangu basi....!!!!!
I love you more mahondaw wangu...Kwahiyo ndo kuamua kuniharibia tu ilimradi???
I love Smart911 much more sihitaji mwingine
Am satisfied Smart911 is giving me anything anything yani kuanzia gegedo classic and lots of materials with Smart911 am living luxurious life pesa ndo balaa sasa khakhaakhaa Smart911 Bosi mtoto teinaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa lnitafute nini tena nyie bado sana