Kuna members wana akili za ajabu sana... Wanachotafuta ni sifa na attention. Kwa nini mnapenda kuharibu mahusiano ya watu...
mahondaw yumo JF muda mrefu sana hakuna aliyemtamani... Leo hii yupo na
Smart911 unakuja na thread yako ya kibwege na ya kitoto kama hii...
Smart911 na
mahondaw kamwe hatutakuja kuachana... Na aliyekutuma mwambie huu ni mchezo wa kitoto sana... Who ever you are kama ni mwanamke au mwanaume utajijua na jinsia yako mwenyewe...
Kwa nini unataka kuharibu furaha yangu na
mahondaw... Unajua
mahondaw unajua alhamisi anatukio gani muhimu.. Alfu mpuzi kama wewe from no where unakuja kuleta ujinga...
Mimi sipendagi malumbano lakini kwa thread kama hii ya kichoko... Na kama mwanamke alikukataa kuna haja gani ya kuingia na ID tofauti na kumuharibia... Nilichukia sana... Na nusu nimuharibu
mahondaw... Lakini nimesema kwa nini wakati nampenda sana...
Jinga moja ambalo linaleta thread ya kumuudhi
mahondaw ili nalo lionekane linajua kubandika thread kumbe anabunguliwa tu... Leave
mahondaw alone... She will never be wa mtu yoyote zaidi ya wa
Smart911
Kama kweli unamjua
mahondaw njoo alhamisi uone navyomvisha pete ya uchumba alafu ujitokeze na kusema huu utumbo uliyopost hapa...
Sidhani kama nina plan zozote za kumuacha
mahondaw...
mahondaw ni wa
Smart911...
Smart911 ni wa
mahondaw...
@mahondow love.. Sorry kwa kusema surprise iliyopo alhamisi for you...
Huyu bwege sijui anatafuta bwana
mahondaw mpenzi wangu... Don't worry with anything kweli nimechukia sana... Lakini jua kwamba nakupenda sana... Hata zianzishwe thread 1000 the truth remains you are becoming my wife...
Huyu member atakuwa ametumwa... Ila ameshindwa...