Hapa mwanaume yeyote lazima adate,uchaguzi mwema-mkitangaza ndoa nitakuchangia.Nimekuwa namfatilia mrembo huyu kwa muda mrefu huwa ananikosha sana kwa komenti zake, ucheshi wake na hata masihara yake.
Mahondaw njoo hapa nikuhonge mgodi wangu wa hapa Kiwira ili nikuoe na nikupeleke Ibiza ukale maisha sio vumbi la hapa bongo
Mahondaw popote ulipo sikia kilio changu.
Naona Mtoto amenyooka vibaya mkuu,,,,,,,duniani kuna watu wamependelewa
Moja......Aah wapi babu mi huniwezi hata kidoncho
Ndiyo akili yako ulipogota... Na ujinga ulioujaza kichwani...Mimi nataka hako kajamaa kawe house boy wetu pindi tutakapokuwa IBIZA
Mods huyu manzi apewe ban...Kwendra zako nawewe ukute ndo walewale na multiple id's zenu kmanyoko kabisa nyie
Tena wewe Ivuga ndo snitch namba one kabisa
Na sizitaki mbichi hizi. idiot.
Siwezi bishana sana na mtu anayetafuta sijui inaitwa kiki... I was pissed off... Nilichukia sana... But mahondaw kanielewesha na machozi yamemtoka... Nimemsamehe... Siwezi kumuacha kwa mambo madogo kama haya..Teh
Waiting for le tamko.....
Sijui kijana msafi 119 yupo wapi.
pole hisia, kwa umbo na sura yako lazima mwanaume lijali aukanye moyo wake kusukuma damu, maana duhSio makavu hii ishu imesukwaa
Mizimu yangu inaniambia kabisa this is planned
Mi bwana leo nipo tayari kwa lolote I don't care
Washaniharibiaa washamivuruga na kuvuruga kila kitu Smart911 hanielewiii nitajiua hakyamungu akili sio yangu hapa ishapaa
Wanatafuta sifa tu hakuna lolote wala chochote..Jamani kama kuna mwingliano wa kimapenzi na kama mlikataliwa msilazimishe mapenzi warembo wapo wengii nendeni Badoo wamejaa msimsumbue bint wa watu.
Nimekuwa namfatilia mrembo huyu kwa muda mrefu huwa ananikosha sana kwa komenti zake, ucheshi wake na hata masihara yake.
Mahondaw njoo hapa nikuhonge mgodi wangu wa hapa Kiwira ili nikuoe na nikupeleke Ibiza ukale maisha sio vumbi la hapa bongo
Mahondaw popote ulipo sikia kilio changu.
ashawambia si yeye..kasema angekuwepo yy angeringaNdio mahonda mwenyewe huyu sio usije ukahonga nchi yetu
We jamaa Mbona unamkazia mwenzio [emoji23][emoji23][emoji23]ashawambia si yeye..kasema angekuwepo yy angeringa
Hahha eti spanish... hahaha ndio maana ukaanzisha thread kqa id nyingine... ili upate sababu.Yes i cancel the date and the outing... And the reservation i made nimesamehe tu hiyo pesa... I wanted to take you to a Spanish restaurant to try everything new... But i canceled coz i was pissed of...
Cc: mahondaw
Huyu jamaa choko saaana,kaja kajijibu kama mahondaw...kipnd hcho ID ya smart911 ilikuwa kimya..saiv kaja kujib kwa ID ya smart911 ambapo ID ya Mahondaw ipo kimyaaaa!Naona umemianzishia thread kwa another iD