Nampenda sana Mahondaw

Hapa mwanaume yeyote lazima adate,uchaguzi mwema-mkitangaza ndoa nitakuchangia.
 
Halafu unanifurahisha unavyoakti hunijui, mwambie huyo Smart911 akulete pale pa juzi kwenye Easter.
Juzi kwenye easter wapi?? Unasoma commets zetu unajifanya kutujua... Unajua easter mimi mahondaw tulikuwa wapi?? Aliyekutuma mwambie akupe info za kutosha...
 
Naona Mtoto amenyooka vibaya mkuu,,,,,,,duniani kuna watu wamependelewa


Kwa picha hiyo mnauziwa mbuzi kwenye gunia; mbona picha imekatwa haioneshi miguu?? Mchaga huyo, juu mzigo chini vijiti!!
 
Mimi nataka hako kajamaa kawe house boy wetu pindi tutakapokuwa IBIZA
Ndiyo akili yako ulipogota... Na ujinga ulioujaza kichwani...

Nahisi wewe ndiyo uliyenijia PM na kuniambia utanitafutia life Ban...
 
Teh

Waiting for le tamko.....
Sijui kijana msafi 119 yupo wapi.
Siwezi bishana sana na mtu anayetafuta sijui inaitwa kiki... I was pissed off... Nilichukia sana... But mahondaw kanielewesha na machozi yamemtoka... Nimemsamehe... Siwezi kumuacha kwa mambo madogo kama haya..
 
Sio makavu hii ishu imesukwaa
Mizimu yangu inaniambia kabisa this is planned

Mi bwana leo nipo tayari kwa lolote I don't care
Washaniharibiaa washamivuruga na kuvuruga kila kitu Smart911 hanielewiii nitajiua hakyamungu akili sio yangu hapa ishapaa
pole hisia, kwa umbo na sura yako lazima mwanaume lijali aukanye moyo wake kusukuma damu, maana duh
 
Jamani kama kuna mwingliano wa kimapenzi na kama mlikataliwa msilazimishe mapenzi warembo wapo wengii nendeni Badoo wamejaa msimsumbue bint wa watu.
Wanatafuta sifa tu hakuna lolote wala chochote..
 

Ndio mahonda mwenyewe huyu sio usije ukahonga nchi yetu
 
Yes i cancel the date and the outing... And the reservation i made nimesamehe tu hiyo pesa... I wanted to take you to a Spanish restaurant to try everything new... But i canceled coz i was pissed of...

Cc: mahondaw
Hahha eti spanish... hahaha ndio maana ukaanzisha thread kqa id nyingine... ili upate sababu.
Acheni dramaa na movie kama kina uwoya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…