Nampenda sana Mahondaw

Hatufuati kile unachotaka wewe... Hatupo kwa ajili ya kumridhisha mtu yoyote... Kwa sababu what do its none of your business... I have nothing to explain to anyone...


Tunaishi maisha yetu...
Mambo yenu malizeni wenyewe huko bhana Labda kama mmenunua jukwaa hapo sawa... Humu mnawat wakubwa wakiona utumbo huu wanaanza kudharau Jf Mnafanya vibaya na utoto huu
 
Mtoa mada ndiyo nia yake muamini hivi... But nothing will pull me down...

Ndiyo maana nikasema ajaribu mbinu tofauti...
Afu mbon unaandika kam mahondaw?
Kwa sababu smart alikuwa hapendi kuniquote wala kujibu post zangu alininunia kumbe mm sina hata time na demu wake hewa m nazingua tu
 
Reactions: Pep
Mkuu kwa haya matusi mmmh sijui mtu anakuaje na mpenz wa ivi kwanini usitulie tu ungeonekana na busara lakini matusi haya si kwa mwanamke ambae ana mpz mwny malengo au ni mke na mume huwezi tukana ivi ungekaa kimya tu

Hahahaahhahahaahahahahaha whocares ???
Nishasema nsmsikiliza one and only Smart911 tu
 
Kusema washozea mahondaw wangu... Tupendane hivi hivi love...

Ofcooooooooooourse watatapika sana awamu hii wajipange upya khakhaakhaa
Siye teinaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwiii ndokwanzaaa kama wametia ndimu
Haya they wanted to Smart911 reactions on that nyoooo imekula kwao mazimaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…