Nampenda sana Mahondaw



Kwa kweli..
Smart&mahondaw kumbukeni you only have one life to live. Live and Love to the fullest.

Achaneni na negativity, go and have fun.
TGIF Y'ALL!
 
kumbe wewe unamzuga Inna
 
Unaweza kukuta hata 'mayenu mayenu' huyo hawezi kwa bed.
 
Sio kumeza mtu kuna wanaume humu Wana mambo ya ajabu sana laiti ungejua ungenionea huruma tu. wanaume wazima haoo na pumb zao tikisa tikisa mpaka kwa Smart mwanaume unaanzaje kuongea kwa mwanaume mwenzako lakini!!?? Dahhhhhhhhhhh
Msamehe bure mama.
 
Miye wapi mimi ni kibibi kabisa kishamba cha hovyo hovyo sina mbele wala nyuma nipo nipo tu nimepaukaaaa mshamba nambari moja duniani
Teh teh teh[emoji23] [emoji23] yani nimepitia comments
Zako lkn hii imenibidi nichekeee... Waambie wenzio ukweli maana wakwaree wa humu ni noumaaa....au unaogopa kumpoteza
Smart
 
Huyu jamaa choko saaana,kaja kajijibu kama mahondaw...kipnd hcho ID ya smart911 ilikuwa kimya..saiv kaja kujib kwa ID ya smart911 ambapo ID ya Mahondaw ipo kimyaaaa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamtaki amini kama penzi lao ni la kweli?
Kwani wanawapunguzia nini jamani!?
 
Amekusikia naona kama ameanza kuvua gauni lake hv!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…