Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah..upo?Mnanichekesha guys.
Hahaha .Nyie wanaume mnaopeleka vimatako vyenu kwa smart smart hana shida nanyinyi muache kujiuza uza mbele yake hamna cha kumpa akawaelewa jamani tembezeni bakora zenu kwingine. Idiots
Nimeandika vile kukupa tahadhar
Take it cool, haya majibu ya kunya hayatakusaidia kutatua tatizo bali yatakuongezea tatizo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi ulishahama kwa shemeji yako hapo Keko? shughuli sio yako unaivalia dera!
Utani?wakati jamaa anaonekana yuko serious. Kuna utani mbele ya k!?Tuliza munkari mjukuu... jamaa anafanya chitchatting tu.
Ukiichukulia JF siriaz kihivyo, unaweza kupata kansa ya nywele.
Mimi ni babu ndio? Ila wewe unaweza kuniita baby...Wanakuita wewe babu
Hivi ni mzee kweli?
Nyeupe au pink nini?
Itakuwa ya ukweli shehe,Kwani ni picha yake ya ukweli???
Kama ni ya ukweli wallah... hamna namna tena. Itabidi itokee tu sheikh..
alhamdulillah...
Mahondaw kuna nini hadi matusi makubwa makubwa hivi kama Mange wa IgHaki tena Ni mengi sana yanaendelea chini kwa chini tena ni wanaume wazima hovyooo
Utafikiri wanafilwafilw mxxiiiiiiiooouuuusssss
Itakuwa ya ukweli shehe,
Shehe ila sio haba alhamdulilah.
Teh tehhhhhhh faza naona unataka WW3Kwani ile picha aliyobandika jamaa ni ya kwako?? Kama ni ya kwako napenda kukutaarifu kuwa mjukuu na babu kwa kawaida ni wapenzi... maana hamna namna tena
Ama kweli acheni K iitwe K... Na mdharau K shurti awe khanithi...Utani?wakati jamaa anaonekana yuko serious. Kuna utani mbele ya k!?
Sasa huyo mrembo mbona umemzidi kabisa. Kwa uzuri.. au hujijui?Mzuri wapi avatar tu hiyo miye kibibi kabisa naelekea kwenye menopause huko nimeiishaaaaa eti nafananishwa na mrembo mbichi kabisa huyo wapi na wapi??
FORTALEZA Amenikosea sana