Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!!!Sio povu tu na matapishi juu
Hio Pole yako hainisaidii kitu kampe mama yako
Sanaaaaa yani na washavuruga huku smart hanielewiiii
Unajua pale smart amepanga kunipeleka leo?? Ndobasi tena yani mpaka kuyaweka sawa sijui yani
Sa unapanik nn mdada mbona kawaida tu .....usingejibu ungevunga tu ungeonekana bora
kuna maneno hapo kama yamejichanganya changanya hv... au mimi ndo naona vibaya!!!!!Haki tena Ni mengi sana yanaendelea chini kwa chini tena ni wanaume wazima hovyooo
Utafikiri wanafilwafilw mxxiiiiiiiooouuuusssss
Doh... basi mama nimeshakuelewa. Mi nlijua ni hii thread tu ndo umeikomalia namna hii...
Pole thana bhana. Ni upepo tu, utapita.
Hivi ulishahama kwa shemeji yako hapo Keko? shughuli sio yako unaivalia dera!
Harafu ukute mamaake hayupo duniani sasa sijui machungu ya hapo!!!Sio povu tu na matapishi juu
Hio Pole yako hainisaidii kitu kampe mama yako
Now what all these shits for!??
Hujui Funga domo lako tafadhar
sasa wewe si lazima upendwe jamani...hata ukiwa mke wa ndoa lazima utongozwe..i think he knows dat
Wewe jiandae leo ...na andaa sarakasi za ukweli leo..ubingiruke uwezavyo....
OMG.....!!!!Hujui tu vile smart huko na hali gani hapa sijui nitalala wapi leo na kila kitu nishagawa
Hujui tu vile smart huko na hali gani hapa sijui nitalala wapi leo na kila kitu nishagawa
mkuu kuna kitu hapa hakieleweki... upo serious na uzi wako au ulikuwa kwenye masihara tu... mahondaw anadai unamharibia na kuna unalolijua... hebu weka wazi maana kuna wengine wanadai wewe ni Smart911 sababu ya hiyo picha... na hebu weka wazi huyo ndo mahondaw kweli au!!!!mbona mkali hivyo jamani? Simba ni mkali lakini ana watoto, tulia tuyajenge mama.
Smart akikasirika anakua mnyama kabisa Wee mtu Mpole msikie tu Leo nimeyaona leo
Mmh!Hujui tu yani
Siko siriaz umejuaje? mkuu kaa pembeni maana hayakuhusu. Niacheni na mtoto mzuri wangu mahondawila mkuu punguza jazba.. mi naamini mtoa mada hakuwa serious kiasi hicho alikuwa kwenye jokes... naomba mmalize tofauti zenu.. ni changamoto tu kwenye maisha.. sufuria tu zinagongana itakuwa binadamu.. ombaneni msamaha..!!!!
Nimeandika vile kukupa tahadhari, hizi confrontation ni lazima ujue jinsi ya kuzi-handle, otherwise jinsi unavyowajibu watu inaweza kusababisha usomeke vibaya kwa mtu ambaye uko naye kwenye uhusiano.
Naona kama kuna kitu unajua wanakijua, so unafanya defensive mechanism in case kikimfikia ionekane eti labda wanakuonea wivu.
Take it cool, haya majibu ya kunya hayatakusaidia kutatua tatizo bali yatakuongezea tatizo.
Wanakuita wewe babuNina matatizo gani mimi mtumishi wa Mungu??
Nyeupe au pink nini?Hahahahaa.... you see?? Kila mtu alichukulia utani.
Nadhani kuna yanayoendelea chini ya kapeti...
Sisi tuendelee na yetu, umesema unataka nikununulie ya rangi nyeupe au pink??