Nampenda sana Mahondaw

Nampenda sana Mahondaw

Siamini kama Smart wako atakwazika na huu upuuzi ulioanzishwa na huyu mleta mada.

Kama amekwazika nambie niongee naye, ntampunguzia mahari then mambo yatanyooka.
Shehe mimi mbona naona sio upuuzi.
Mimi nina uhakika huyu huyu smart ndiye ana id mbili.
Kwa sababu hii picha ya mahindaw imetoka wapi?
Kwa smart. Smart ndie anazo picha za mahondaw
 
Nyie wanaume mnaopeleka vimatako vyenu kwa smart smart hana shida nanyinyi muache kujiuza uza mbele yake hamna cha kumpa akawaelewa jamani tembezeni bakora zenu kwingine. Idiots

Hakuna mwanaume atakayetaka kuwa na mwanamke ambaye anaweza kutukana namna hii kwenye kadamnasi, unless it is just for hit and run.
 
Asante for Appreciation.
Ila sasa kwa ni smart anataka msichana mzuri kama wewe usipendwe na wanaume wengine?
Ndio anatakiwa afurahi kwanza kwa sababu wewe ni mzuri lazim watu wakutongoze lazima wakutamani.
Japo mm skitamani wala skutongozi mm nilikuwa naleta tu daily drama za JF sikujua kama nje ya JF mmependana.
Na najuta ningejua singeleta ile mizaha.
Huyo smart mueleweshe tu ataelewaz
Kama haelewi piga chini kuja huku

Mzuri wapi avatar tu hiyo miye kibibi kabisa naelekea kwenye menopause huko nimeiishaaaaa eti nafananishwa na mrembo mbichi kabisa huyo wapi na wapi??
FORTALEZA Amenikosea sana
 
Shehe mimi mbona naona sio upuuzi.
Mimi nina uhakika huyu huyu smart ndiye ana id mbili.
Kwa sababu hii picha ya mahindaw imetoka wapi?
Kwa smart. Smart ndie anazo picha za mahondaw
Una uhakika hiyo ni picha yake ?
 
Mzuri wapi avatar tu hiyo miye kibibi kabisa naelekea kwenye menopause huko nimeiishaaaaa eti nafananishwa na mrembo mbichi kabisa huyo wapi na wapi??
FORTALEZA Amenikosea sana
Kwani ile picha aliyobandika jamaa ni ya kwako?? Kama ni ya kwako napenda kukutaarifu kuwa mjukuu na babu kwa kawaida ni wapenzi... maana hamna namna tena
 
Hahahahaa.... you see?? Kila mtu alichukulia utani.

Nadhani kuna yanayoendelea chini ya kapeti...

Sisi tuendelee na yetu, umesema unataka nikununulie ya rangi nyeupe au pink??

Haki tena Ni mengi sana yanaendelea chini kwa chini tena ni wanaume wazima hovyooo
Utafikiri wanafilwafilw mxxiiiiiiiooouuuusssss
 
Haki tena Ni mengi sana yanaendelea chini kwa chini tena ni wanaume wazima hovyooo
Utafikiri wanafilwafilw mxxiiiiiiiooouuuusssss
Doh... basi mama nimeshakuelewa. Mi nlijua ni hii thread tu ndo umeikomalia namna hii...

Pole thana bhana. Ni upepo tu, utapita.
 
Back
Top Bottom