Nampenda sana Mahondaw

Nyie wanaume mnaopeleka vimatako vyenu kwa smart smart hana shida nanyinyi muache kujiuza uza mbele yake hamna cha kumpa akawaelewa jamani tembezeni bakora zenu kwingine. Idiots
Hahaha .
 
Haki tena Ni mengi sana yanaendelea chini kwa chini tena ni wanaume wazima hovyooo
Utafikiri wanafilwafilw mxxiiiiiiiooouuuusssss
Mahondaw kuna nini hadi matusi makubwa makubwa hivi kama Mange wa Ig
 
Kwani ile picha aliyobandika jamaa ni ya kwako?? Kama ni ya kwako napenda kukutaarifu kuwa mjukuu na babu kwa kawaida ni wapenzi... maana hamna namna tena
Teh tehhhhhhh faza naona unataka WW3

Utaipata soon
 
Mzuri wapi avatar tu hiyo miye kibibi kabisa naelekea kwenye menopause huko nimeiishaaaaa eti nafananishwa na mrembo mbichi kabisa huyo wapi na wapi??
FORTALEZA Amenikosea sana
Sasa huyo mrembo mbona umemzidi kabisa. Kwa uzuri.. au hujijui?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…