The Chosen One
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 3,579
- 17,011
Eeeh Mungu tusamee tukanye na mema tuyafanye amen.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika hawakukoseaAma kweli Wahenga walinena, rafiki ndo adui na kikulacho ki nguoni mwako
Nawaheshimu sanaaa wahengaHakika hawakukosea
Siongelewi!wewe huwezi kuongelewa??
au niahidi mimi basi
nataka nikuongelee mimi au unasemajeSiongelewi!
Na hakuna walipokosea aiseeNawaheshimu sanaaa wahenga
Ha haaa hebu anzisha! Kabla ya yote badili avatar..unanitisha!nataka nikuongelee mimi au unasemaje
Tumezoeana kiasi cha kunifanya sasa hivi niwe serious na mpango wa kumwomba thawabu aliyojaliwa. Wandugu naombeni ushauri wa kisaikolojia juu ya suala hili kwa kuwa na yeye yupo tayari kunipatia kwa sababu nilimjaribu kumwomba siku moja aliniambia niandae mazingira.
Kama kweli ni your best friend nakushauri umwombe akupatie huyo shemeji yako. Kwanini unatuuliza sisi wakati nyie ndo marafiki? Omba akupatie na ikiwezekana badilishaneni - mpe wa kwako naye akupe huyo unayetaka. Naamini kama marafiki mnafanana hadi vichwani (wewe na rafikiyo)Tumezoeana kiasi cha kunifanya sasa hivi niwe serious na mpango wa kumwomba thawabu aliyojaliwa. Wandugu naombeni ushauri wa kisaikolojia juu ya suala hili kwa kuwa na yeye yupo tayari kunipatia kwa sababu nilimjaribu kumwomba siku moja aliniambia niandae mazingira.
HahahahaKwa hiyo, kwa roho saafi kabisa unataka tukuunge mkono mpango wako wa kutaka kujaza ujazwe?? Haya; kama yupo atakayeona ni vyema unafanya, sawa. Ila; angalia sana ndg usije lia kilio cha mbwa kidomo juu. Utakapo shikishwa ukuta mbele za huyo huyo mke wa mtu, usijali kwani ulijua kuwa ndiko unakoelekezwa na mke wa mtu.
Waweza kujiona kuwa na miguvu na kivua kipana. Hayo kajiangalie chumbani mwako sio mbele ya mke wa mtu. Utakapofumaniwa, utajikuta mdogo ka piriton.
Hahahaha...aisee, nmecheka sana.JF Founders wana akili sana!
WALICHEZA KAMA PELE KUWEKA OPTION YA KUTUMIA MAJINA FEKI!
Nawaza hapa unamshauri mtu kumbe ni best yako!
na mke anayemzungumizia ni mkeo!
AF UMEKAZANA KUMSISITIZA MLEEE TUUU! SI KAJILETA!
AHAHHHAHAHHAHAHHAHAHHA
Tumezoeana kiasi cha kunifanya sasa hivi niwe serious na mpango wa kumwomba thawabu aliyojaliwa. Wandugu naombeni ushauri wa kisaikolojia juu ya suala hili kwa kuwa na yeye yupo tayari kunipatia kwa sababu nilimjaribu kumwomba siku moja aliniambia niandae mazingira.
Hahahaaaa!!JF Founders wana akili sana!
WALICHEZA KAMA PELE KUWEKA OPTION YA KUTUMIA MAJINA FEKI!
Nawaza hapa unamshauri mtu kumbe ni best yako!
na mke anayemzungumizia ni mkeo!
AF UMEKAZANA KUMSISITIZA MLEEE TUUU! SI KAJILETA!
AHAHHHAHAHHAHAHHAHAHHA