Nampenda sana mke wa rafiki yangu

Nampenda sana mke wa rafiki yangu

Hahahahahahahahahahaha jamaaa huoni kinyaa ? Utashare vipi mwanamke na jamaa unaemjuwa ? ujinga asee acha hiyo biashara bora ukalewe tu jamaa
 
Hamna shida omba tu hiyo thawabu kwa sababu umeshadhamiria akilini na moyon mwako pia, lakin nina imani rafiki yako akijua na kukukuta yeye hatakuomba ila ataitumia hiyo **** pori (tigo) yako ,kwa nguvu.
 
Hayo mawazo yako ni dhambi kubwa na usiyape nafasi kabisa, muhimu epuka ukaribu na shemeji yako, kuwa busy na mabo yako na utafute nawewe mtu wako.Na la msingi kabisa uwe na hofu ya Mungu hivyo jitahidi kuwa karibu na Mungu hata kwa ibada na maombi uishinde iyo roho.
 
Anayekupigia honi barabarani jua kakuona huyo. Na wewe bila shaka unajua madhara ya kumtaka kimpanzi mke wa rafikiyo. Chunga sana tamaa mbaya
 
Hizo guts mnatoa wapi?Mimi nikijua tuu mwanamke katembea na MTU nnayemfahamu hata kidogo tuu achilia mbali mshkaji siwezi kumgusa, wala kumtaman
 
Utavishwa bikini we jaribu uone utakuja utuambie humu hivi Maharage ni mboga ama kiungo cha kande!!?!
 
Ungeongea na rafiki yako akakuachia mke ukamrudishia mahari yake. Unaweza kushangaa akafurahi kweli ili akaoe mwingine mpya.
 
Back
Top Bottom